johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa afya mh Gwajima amesema muswada wa Bima ya afya kwa wote utawasilishwa bungeni hivi karibuni.
Waziri Gwajima amesema baada ya sheria ya Bima ya afya kupitishwa basi wananchi wote wataingizwa katika utaratibu huo na hivyo kuwapa uhakika wa tiba.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
=====
Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Wizara hiyo inakamilisha Muswada wa Bima ya Afya kwa wote ambao utawasilishwa Bungeni
Ameeleza, hatua hiyo itachangia kwa kiasi kikubwa kumaliza matatizo ya Wananchi wengi wanaoshindwa kupata huduma stahiki mahali popote
Kuhusu upotevu wa Dawa Vituoni, Dkt. Gwajima amesema ukaguzi unafanyika na maamuzi yatachukuliwa kwa wanaopoteza Dawa na kuhujumu mapato
Waziri Gwajima amesema baada ya sheria ya Bima ya afya kupitishwa basi wananchi wote wataingizwa katika utaratibu huo na hivyo kuwapa uhakika wa tiba.
Source TBC
Maendeleo hayana vyama!
=====
Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Wizara hiyo inakamilisha Muswada wa Bima ya Afya kwa wote ambao utawasilishwa Bungeni
Ameeleza, hatua hiyo itachangia kwa kiasi kikubwa kumaliza matatizo ya Wananchi wengi wanaoshindwa kupata huduma stahiki mahali popote
Kuhusu upotevu wa Dawa Vituoni, Dkt. Gwajima amesema ukaguzi unafanyika na maamuzi yatachukuliwa kwa wanaopoteza Dawa na kuhujumu mapato