Waziri Gwajima: Muswada wa sheria ya Bima ya Afya kwa wote kufikishwa bungeni hivi karibuni!

Kwaiyo kama mtu utakua hujakata bima hautaweza kupata matibabu?
 
Nimekuelewa vizuri point yako.

Lets wait lakini kama ujuavyo utekelezaji huwa ndio shida. Wacha tuone
 

!
!
Hauna Maana Kama Kutakuwa Na Madaraja Ya Kuhudumiwa Kulingana Na Ulivyochangia Kama Ilivyo Sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…