pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Tatizo musiochanja munachelewesha ugonjwa kutowekabibitozo alisema ni hiari sasa huku kuwajibishana wapi na wapi
Mi nimechanja!Huyo mama me kunasiku nilimsikia akisema kua baada ya yeye kuchanjwa, mumewe alitest mitambo akakuta iko poa.
Tangu hapo huyo mama me namchukulia tofauti na mnavyo mchukulia wenzangu.
Hela ishaletwa ya corona halafu watu hawachanjwi, walioleta pesa wanatazamia kuona lengo lao linatimia. Kipindi kibaya sana hiki katika historia ya dunia.Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866
Good argument.Hela ishaletwa ya corona halafu watu hawachanjwi, walioleta pesa wanatazamia kuona lengo lao linatimia. Kipindi kibaya sana hiki katika historia ya dunia.
Tena kama chadema wangeliitikia wito hata nusu chanjo zilizopo Nchini zingelikuwa zimeisha,tusingelisikia matamko haya ya kijinga 😀😄😃😃 Chadema tusaidieni kutekereza amri ya mwenyekiti wenu,kwamba kila mwanachadema kuchanjwa ni lazima,mzigo unadodea store, serikali ya Mama pendwa isije pata hasara.Tena hili swala la chanjo limewatia haibu mpaka viongozi wa Chadema.
Maana kipindi serkali iliyo pita iligomea chanjo, wapinzani wake ambao ndio Chadema wao walikua wakiilazimisha serkali ilete chanjo.
Sasa chanjo imekuja na hatuoni msaada wowote kutoka kwenye hiyo chanjo.
Science ya wapi inasema hivyo....!!?Chanjo haizuii kirusi inaongeza kusambaa kirusi
Utachanja na wenzako wewe msukuma, mimi na wenzangu hatuchanji! Hatusafiri nje ya nchi, hatuji hospitali pia. Ninyi zuieni kila kitu hadi kutumia cash hadi uwe na chanjo, hatuchanji, Mbona kila kitu tunajua kinachokuja!!!Naunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com #COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com #COVID19 - Pascal Mayalla: Viongozi wa Umma wajitokeze kuchanjwa, wasiopenda wakae kimya
Leo tarehe 02 Agosti 2021, waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari walipata chanjo dhidi ya UVIKO 19 pale Karimjee Dar. Miongoni mwa waliopokea chanjo ni mwandishi nguli Pascal Mayalla. Katika mahojiano aliongea jambo muhimu sana kuhusu hili zoezi la chanjo. Amewataka viongozi wote wa umma...www.jamiiforums.com #COVID19 - Japo Chanjo ni hiyari, ila ni muhimu. Hupandi Ndege bila cheti cha Kupima COVID19. Kama unasafirisafiri, Chanjo ni Muhimu
Wanabodi, Déclaration of Interest. Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje. Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na...www.jamiiforums.com
Niliwahi kusema mahali, chanjo ya Korona japo inasemwa kuwa ni hiyari, hii ni hiyari ya lazima, kuna nchi mtu huruhusiwi kuingia bila cheti cha chanjo ya Corona. Hivyo sasa tunaanza mdogo mdogo kwa viongozi wa umma, chanjo sio hiyari ni lazima,
kama wewe ni kiongozi wa umma na huamini chanjo, achia ngazi!.
P.
P
Mliochanja mnatuonea wivu sana tusiotaka hizi chanjo zenuVery simple
Pale stendi ya mbezi weka askari wahakiki cheti cha chanjo,
Asienacho achanje hapohapo au basi alilokuja nalo ndio hilo hilo arudi nalo alipotoka,
Mwezi tu watachanja wote
Nani asiyetaka kuja mjini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu Dorotea ana kamavi kametuna akiwa naked utampenda sema tu sura ya kinyiramba, ana kambunye kadogo kenye utelezi mwingi kama kamasi na kaharufu fulani kwa mbaali.!!!Mi nimechanja!
Natamani waziri atesti mitambo yangu, itavuka viwango.
Waziri wa kuokoteleza huyu,sijui mamlaka za uteuzi zilimtoa wapi,ana mihemko Sana na uwaziri wàke utadhani akitolewa hapo hakuna mtanzania kuziba nafasi yake.Duuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?
Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
Huo ndo ukweli,harafu huyu mama sidhani Kama atakuwemo kwenye cabinet ijayo,she is unfit and useless minister!!Kulinda Cheo tu kinamfanya abwatuke hivyo.
Kama nchi ni ya babu yake wataachia.
Hajiulizi tu CCM Ina wanachama 8m. Chanjo zilikuwa 1m,hazikuisha mpaka zikaexpire.
Hatumii akili wenye chama wenyewe hawataki misumu,kisa kumfurahisha beberu kwa ajili mkopo.
Waziri wa Afya, Dmmmmorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866
Gwajigirl yamekuwa hayo tenaaaa,mmmmm mwaka huu uishe haraka hee!Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866
Subiri Kile kitengo cha propaganda na unyambilisii kianze kazi,hatarudi huyuuuuuKichwa kimepata moto tena.
Safari hii atoboi, ataachia ngazi yeye.
Wewe subiri chama cha kijani na fitna (CCM) waanze choko choko.
Hii Inaitwa Kick Ya Kufunga Mwaka 2021 Aliyoitoa WaziriDuuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?
Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
Wanazunguuka Mbuyu Lakini Ni Lazima Kwa Maagizo Ya MabeberuKwani si waseme tu kuwa kuchanja Ni lazima mbona wanasema Ni hiari alafu wanahangaika na matamko kila leo?.
Aisee kweli..hawa CDM vipi hawajitokeziTena kama chadema wangeliitikia wito hata nusu chanjo zilizopo Nchini zingelikuwa zimeisha,tusingelisikia matamko haya ya kijinga [emoji3][emoji1][emoji2][emoji2] Chadema tusaidieni kutekereza amri ya mwenyekiti wenu,kwamba kila mwanachadema kuchanjwa ni lazima,mzigo unadodea store, serikali ya Mama pendwa isije pata hasara.