Waziri Gwajima: Wajasiriamali wanawake na vijana changamkieni fursa za IMBEJU

Natamani mawaziri wote waingie kwa majina yao wazi wazi hapa JF ili wawe wanajibu hoja zinazohusiana na shughuli zao. Badala ya kupita kutuchora na kuingia kwa ID za mchongo kama FaizaFoxy.
 
Asante sana, pia ni program nzuri yenye tija, nina swali moja nahitaji msaada. “ Hivi kuna uwezekano wa kufungua kikundi ambacho wanachama wake wakawa hawatoki katika kata moja ila wapo ndani ya wilaya moja?”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…