Waziri Gwajima, wanafunzi kufukuzwa shule sababu ya picha za utupu siyo suluhisho na haiwasaidii, wanatakiwa kupewa mwongozo na kuelewa athari zake

Waziri Gwajima, wanafunzi kufukuzwa shule sababu ya picha za utupu siyo suluhisho na haiwasaidii, wanatakiwa kupewa mwongozo na kuelewa athari zake

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Waziri Dkt. Gwajima D salam,

Moja ya tukio kubwa wiki hii ni suala la wanafunzi zaidi 100 kukutwa na simu shuleni na baadhi yao kufukuzwa baada ya kupiga picha za utupu na picha hizo kusambaa.

Katika kushughulika na suala hili busara inahitajika zaidi kuliko kukurupuka. Kwanza tuelewe hawa na watoto na wapo katika hatua ya ukuaji, na katika hatua mengi hutokea ikiwemo kufuata mikumbo na kujaribu mambo mbalimbali kutokana na vichocheo vya miili yao pamoja na shauku ya kutaka kujua na kujaribu mambo mbalimbali.

Kwa tulipita na kuonja shule za bweni hata kidogo tunajua mambo za simu shuleni, na siyo kwamba kuna mambo ya maana yanafanyika mengi ni kwaajili ya kupiga picha, kuwasiliana na viboifrendi, kuonesha kwamba na wewe una simu, nk. Pamoja na sheria kali shuleni wanafunzi watapata njia tu ya kufikisha simu shuleni na hii si kwa wote wavulana na wasichana.

Pia soma:
Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

Inapotokea suala kama hili imefikia mpaka wamejipiga picha na kusambaza, ndio wapewe adhabu lakini iwe ya kuwajenga. Wanatakiwa kupewa elimu kwa udogo wao huo huo waelewe kwanza kufuata utaratibu wa kutopeleka simu shuleni, lakini pia wafundishwe matumizi salama ya simu.

Ifanyike open discussion waelewe mtandaoni kuna mambo mengi, lakini unatakiwa kutumia njia hii, lakini pia waelezwe athari ya kupiga picha hizo na kuziweka mtandaoni, waelewe mtandao hausahau na jinsi inavyoweza kuwaharibia mbeleni, na hili siyo tu kuathiri kwao bali hata kwa wazazi/walezi wao, familia na hata inavyoweza kuwaathiri wenzao.

Lakini pia hili lisiishie tu kwao, hata wazazi wa watoto hawa wapate elimu hiyo pia (huko mbeleni unaweza kutengeza program zinazowakutaisha wazazi na walezi kwenye masuala ya matumizi salama ya digitali).

Wamefukuzwa shule jua tu na huko nyumani moto utaenda kuwaka na mzazi anaweza hata kuua mtoto kwa kipigo. Naomba Waziri Dkt. Gwajima D uende na jambo hili kwa busara sana.

Pia kuna baadhi ya page kwenye mitandao ya kijamii wameweka picha za wanafunzi hawa, umetagiwa kwenye baadhi, picha hizo zinatakiwa kuondolewa, ni kuendeleza udhalilishaji kwa watoto hawa na kwenda kinyume pia na sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi na haki za watoto.

Waziri Gwajima ametoa update hapa >> Waziri Dorothy Gwajima: Wanafunzi waliojirekodi picha za utupu na kusambaza kurekebishwa tabia na kurudi shule
 
Waziri Dkt. Gwajima D salam,

Moja ya tukio kubwa wiki hii ni suala la wanafunzi zaidi 100 kukutwa na simu shuleni na baadhi yao kufukuzwa baada ya kupiga picha za utupu na picha hizo kusambaa.

Katika kushughulika na suala hili busara inahitajika zaidi kuliko kukurupuka. Kwanza tuelewe hawa na watoto na wapo katika hatua ya ukuaji, na katika hatua mengi hutokea ikiwemo kufuata mikumbo na kujaribu mambo mbalimbali kutokana na vichocheo vya miili yao pamoja na shauku ya kutaka kujua na kujaribu mambo mbalimbali.

Kwa tulipita na kuonja shule za bweni hata kidogo tunajua mambo za simu shuleni, na siyo kwamba kuna mambo ya maana yanafanyika mengi ni kwaajili ya kupiga picha, kuwasiliana na viboifrendi, kuonesha kwamba na wewe una simu, nk. Pamoja na sheria kali shuleni wanafunzi watapata njia tu ya kufikisha simu shuleni na hii si kwa wote wavulana na wasichana.

Pia soma:
Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

Inapotokea suala kama hili imefikia mpaka wamejipiga picha na kusambaza, ndio wapewe adhabu lakini iwe ya kuwajenga. Wanatakiwa kupewa elimu kwa udogo wao huo huo waelewe kwanza kufuata utaratibu wa kutopeleka simu shuleni, lakini pia wafundishwe matumizi salama ya simu.

Ifanyike open discussion waelewe mtandaoni kuna mambo mengi, lakini unatakiwa kutumia njia hii, lakini pia waelezwe athari ya kupiga picha hizo na kuziweka mtandaoni, waelewe mtandao hausahau na jinsi inavyoweza kuwaharibia mbeleni, na hili siyo tu kuathiri kwao bali hata kwa wazazi/walezi wao, familia na hata inavyoweza kuwaathiri wenzao.

Lakini pia hili lisiishie tu kwao, hata wazazi wa watoto hawa wapate elimu hiyo pia (huko mbeleni unaweza kutengeza program zinazowakutaisha wazazi na walezi kwenye masuala ya matumizi salama ya digitali).

Wamefukuzwa shule jua tu na huko nyumani moto utaenda kuwaka na mzazi anaweza hata kuua mtoto kwa kipigo. Naomba Waziri Dkt. Gwajima D uende na jambo hili kwa busara sana.

Pia kuna baadhi ya page kwenye mitandao ya kijamii wameweka picha za wanafunzi hawa, umetagiwa kwenye baadhi, picha hizo zinatakiwa kuondolewa, ni kuendeleza udhalilishaji kwa watoto hawa na kwenda kinyume pia na sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi na haki za watoto.
Hawatakiwi kufukuzwa Bado Watoto hao sema hajajajitambua.

Kiufupi wengi wanafanya hivyo ila wao hawajagundulika
 
Sheria za Elimu lazima ziheshimiwe kama tunahitaji kujenga jamii inayojielewa. Mwanafunzi wa Sekondari haelewi ubaya wa kupiga na kusambaza picha za utupu?

Basi wahamie Burundi
Unashangaa sekondari wakati tumeshuhudia 'connection' za watu wazima kibao kuvuja? Hao watoto kwa makadirio wanaweza kuwa kati ya miaka 13 mpaka 16, ni watoto ambao basically hawajui ni kwa namna gani suala hili linaenda kuwaathiri
 
Hawatakiwi kufukuzwa Bado Watoto hao sema hajajajitambua.

Kiufupi wengi wanafanya hivyo ila wao hawajagundulika
Hili ni kweli, kama tulikuwa tunafanya sisi tukiwa shuleni, wakati huu ambao matumizi ya teknolojia yamezidi yatakuwa yanafanyokika kwa kiasi kikubwa tena kwa mbinu mpya
 
Wapitie kwanza performance records za hao watoto, pia wareview tabia zao shuleni. Hapo watajua kama ni bahati mbaya (utoto) au tayari ni tabia yao.
Mi nadhani hizi elimu za kulazimishana ifike mwisho asome anayeonyesha anania ya kusoma. Kuna wanafunzi wengi huwa tunakutana nao unaona kabisa shule anaenda kwa mujibu wa sheria tu. Sasa wanafunzi wa aina hiyo wanakuwa kama virus, wanashawishi na wengine kutoka kwenye reli.
 
Ni kwasababu siyo mtoto wako ndio maana, akiwa wako utatafuta njia za kumsaidia kuhakikisha anarudi kwenye mstari.... badala ya kuwashukia watoto inabidi tuangalie mzizi wa tatizo na kuanzia hapo
Unajifanya hujui mzizi? Kama hujui kweli, huoni kuwa na wewe ni chanzo?
 
Wapitie kwanza performance records za hao watoto, pia wareview tabia zao shuleni. Hapo watajua kama ni bahati mbaya (utoto) au tayari ni tabia yao.
Mi nadhani hizi elimu za kulazimishana ifike mwisho asome anayeonyesha anania ya kusoma. Kuna wanafunzi wengi huwa tunakutana nao unaona kabisa shule anaenda kwa mujibu wa sheria tu. Sasa wanafunzi wa aina hiyo wanakuwa kama virus, wanashawishi na wengine kutoka kwenye reli.
Kuna njia nyingine ya kuwasaidia, elimu ni muhimu akapata msingi, huko mbele anaweza kutafutiwa kitu kingine kumuendeleza kutokana na uwezo wake ili aweze kujitegemea mbeleni
 
Wapitie kwanza performance records za hao watoto, pia wareview tabia zao shuleni. Hapo watajua kama ni bahati mbaya (utoto) au tayari ni tabia yao.
Mi nadhani hizi elimu za kulazimishana ifike mwisho asome anayeonyesha anania ya kusoma. Kuna wanafunzi wengi huwa tunakutana nao unaona kabisa shule anaenda kwa mujibu wa sheria tu. Sasa wanafunzi wa aina hiyo wanakuwa kama virus, wanashawishi na wengine kutoka kwenye reli.

Mtakapo fanya shule kuwa hiari na sio jambo la lazima kwa watoto mtakuwa mmesign mkataba wa milele wa kuwa wa mwisho kwenye kila nyanja. Tatizo namba moja la hii nchi ni ujinga. Ujinga unaweza kuondoloewa kwa watu kupata elimu bora basi. Short of that hii nchi itaendelea kuwa ya mwisho kwenye kila nyanja, uelewa wa raia wa kawaida baina ya mkenya/mnigeria na mtanzania ni mbingu na ardhi sababu wabongo hawana msingi imara wa elimu. Hii imefanya wabongo kuwa inferior wanapokuwa na wenzao wa nje na kushindwa ku compete globally.
 
Serious watu wanatetea hili suala...daah
Kwamba unaona ni sawa kwakuwa wamepiga picha hizo na kusambaza basi kila kitu kimeisha hawastahili kusaidiwa?

Kama ni hivyo wewe nawe unahitaji kuelimishwa, hata kwenye role ulezi nako upewe darasa vinginevyo utakuwa disaster kama mzazi

Waziri Dkt. Gwajima D kuna kazi kubwa inahitajika kufanyika
 
Kwamba unaona ni sawa kwakuwa wamepiga picha hizo na kusambaza basi kila kitu kimeisha hawastahili kusaidiwa?

Kama ni hivyo wewe nawe unahitaji kuelimishwa, hata kwenye role ulezi nako upewe darasa vinginevyo utakuwa disaster kama mzazi

Waziri Dkt. Gwajima D kuna kazi kubwa inahitajika kufanyika
Mkuu una shida mahali fulani...
Yaani kama upo serious kutetea hili una matatizo wewe...

Kitendo cha kufukuzwa tuu ni kusaidiwa kwenyewe huko...
 
Waziri Dkt. Gwajima D salam,

Moja ya tukio kubwa wiki hii ni suala la wanafunzi zaidi 100 kukutwa na simu shuleni na baadhi yao kufukuzwa baada ya kupiga picha za utupu na picha hizo kusambaa.

Katika kushughulika na suala hili busara inahitajika zaidi kuliko kukurupuka. Kwanza tuelewe hawa na watoto na wapo katika hatua ya ukuaji, na katika hatua mengi hutokea ikiwemo kufuata mikumbo na kujaribu mambo mbalimbali kutokana na vichocheo vya miili yao pamoja na shauku ya kutaka kujua na kujaribu mambo mbalimbali.

Kwa tulipita na kuonja shule za bweni hata kidogo tunajua mambo za simu shuleni, na siyo kwamba kuna mambo ya maana yanafanyika mengi ni kwaajili ya kupiga picha, kuwasiliana na viboifrendi, kuonesha kwamba na wewe una simu, nk. Pamoja na sheria kali shuleni wanafunzi watapata njia tu ya kufikisha simu shuleni na hii si kwa wote wavulana na wasichana.

Pia soma:
Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

Inapotokea suala kama hili imefikia mpaka wamejipiga picha na kusambaza, ndio wapewe adhabu lakini iwe ya kuwajenga. Wanatakiwa kupewa elimu kwa udogo wao huo huo waelewe kwanza kufuata utaratibu wa kutopeleka simu shuleni, lakini pia wafundishwe matumizi salama ya simu.

Ifanyike open discussion waelewe mtandaoni kuna mambo mengi, lakini unatakiwa kutumia njia hii, lakini pia waelezwe athari ya kupiga picha hizo na kuziweka mtandaoni, waelewe mtandao hausahau na jinsi inavyoweza kuwaharibia mbeleni, na hili siyo tu kuathiri kwao bali hata kwa wazazi/walezi wao, familia na hata inavyoweza kuwaathiri wenzao.

Lakini pia hili lisiishie tu kwao, hata wazazi wa watoto hawa wapate elimu hiyo pia (huko mbeleni unaweza kutengeza program zinazowakutaisha wazazi na walezi kwenye masuala ya matumizi salama ya digitali).

Wamefukuzwa shule jua tu na huko nyumani moto utaenda kuwaka na mzazi anaweza hata kuua mtoto kwa kipigo. Naomba Waziri Dkt. Gwajima D uende na jambo hili kwa busara sana.

Pia kuna baadhi ya page kwenye mitandao ya kijamii wameweka picha za wanafunzi hawa, umetagiwa kwenye baadhi, picha hizo zinatakiwa kuondolewa, ni kuendeleza udhalilishaji kwa watoto hawa na kwenda kinyume pia na sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi na haki za watoto.
Ilipaswa mtu akikamatwa na simu bila kujali thamani yake inataifishwa moja kwa moja bila kurudishiwa na kupewa onyo kali,

Na endapo mtu akikamatwa na simu na tena basi ndio afukuzwe
 
Back
Top Bottom