Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Huyo mkeo atakuwa kimeo kweri kweri (In Magu Voice), unamtoa kirahisi hivyo?Ndugu popote ulipo! Serikali ipo wether kikazi au kimaisha hata kiutani. Hizo zingine eti Fifa ni maandishi tuuu. Muulize edgar tenga au Karia kuwa waliupataje urais wa TFF! Kama wakikupa jibu la ukweli! njoo nikupe mke wangu , ukae naye siku sita.