Wamuogope kwa lipi mikia fc mapaka yamegoma ujue ,simba amemfunga lini yanga kwenye ligi ,hata huko zenji nani alichezea ,unajitoa ufahamu mbumbumbu fc
Ndugu popote ulipo! Serikali ipo wether kikazi au kimaisha hata kiutani. Hizo zingine eti Fifa ni maandishi tuuu. Muulize edgar tenga au Karia kuwa waliupataje urais wa TFF! Kama wakikupa jibu la ukweli! njoo nikupe mke wangu , ukae naye siku sita.