Waziri Hussein Bashe aagiza Mshindo Msola akamatwe

Asee πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘†πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏ
 
Kwani mchanga haiwezi kuwekwa kiwandani kwa ajili ya kazi nyingine? Make taarifa inasema inadhaniwa kuwa...... kwani hizo mbolea huwa hazipimwi kama nondo kabla ya kuzipeleka kwa mkulima ili kujiridhisha na contents?
 
MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
Samahani sana mkuu 'Resilience', kwani hii habari uliyoleta hapa ni ya kusikitisha sana.

Mimi nimeamuatu kuubeba huo mstari wako wa mwisho katika nia yangu ya kukumbusha "urefu wa kamba".
 
Historia yako haiko sahihi.
Hayo mengine huko chini sijayasoma.
Usiangalie historia bali angalia ukweli wa jambo. CCM kilitokana na TANU iliyoundwa 1954, chama ambacho kiliingia madarakani 1961 kabla ya kuunganishwa na ASP mwaka 1977 kuunda CCM. Kwa hiyo, misitu ni tofauti lakini nyani ni walewale. Umeelewa sasa?
 
Usiangalie historia bali angalia ukweli wa jambo. CCM kilitokana na TANU iliyoundwa 1954, chama ambacho kiliingia madarakani 1961 kabla ya kuunganishwa na ASP mwaka 1977 kuunda CCM. Kwa hiyo, misitu ni tofauti lakini nyani ni walewale. Umeelewa sasa?
Hata hiyo 'analogy' ya misitu unayoitumia bado ni batili.

Huwezi kuilinganisha CCM ya Mwalimu na hii CCM ya "Wenzetu", hiyo ndiyo ilikuwa maana yaku ya "historia".
 
Sasa jomba tuambie uiondoe ccm uweke chama gani.. usiandike tu kutoka hewani..lete mbadala wake..kama unahisi yupo
 
Sasa jomba tuambie uiondoe ccm uweke chama gani.. usiandike tu kutoka hewani..lete mbadala wake..kama unahisi yupo
Kwa hiyo kwa kuwa hakuna mbadala unataka tuendelee kuteseka mpaka lini?
 
Kwa hiyo kwa kuwa hakuna mbadala unataka tuendelee kuteseka mpaka lini?
Jomba kama hakuna mbadala means hujajiandaa...na kama haujajiandaa Mambo ya nchi hatuwezi kuyafanyia majaribio..tutajikuta tuko kama Zimbabwe..jinsi walivyoyumba..usicheze na uchumi wa nchi
 
Jomba kama hakuna mbadala means hujajiandaa...na kama haujajiandaa Mambo ya nchi hatuwezi kuyafanyia majaribio..tutajikuta tuko kama Zimbabwe..jinsi walivyoyumba..usicheze na uchumi wa nchi
Wewe unashauri tufanyeje?
 
Ilula pale i remember this terrible game nlikuwa student wa o levo kipind kile...ila alikuwaa braza wake propesa msola
 
Wewe unashauri tufanyeje?
Hahaha twende na ccm Ila tuweke viongozi mahili tu...tatizo sio chama jomba..chama Cha ccm kina ilani nzuri sana ambazo zinawa favor wananchi.hakuna..chama kinachofanana sema inategemea uongozi wa juu tu na mifano ipo...Vyama hivi vichanga vinapochukua madarka tu kwanza inabidi vijijenge kabla havijaanza kuwajengea wananchi...shughuli ipo hapo...unless vipate kiongozi wa ukweli mzalendo lakini sio Hawa machampion wa LGBT...HAHAHAHA
 
Kumbe mawazo yako ndio hayo? Nilidhani nabadilishana mawazo na mtu mwenye mawazo chanya kumbe siyo. Kwa heri mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…