Waziri Hussein Bashe aagiza Mshindo Msola akamatwe

Waziri Hussein Bashe aagiza Mshindo Msola akamatwe

Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO


===========

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.

Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.

Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
Uyu waziri Bashe awe mfano wa kuigwa kwa watendaji wenzake wa serikali yaani ikipendeza hata viongozi wako wa chama wafanye jitihada uwe waziri mkuu endelea kuchapa kazi
 
Japo wote tutakufa na hatujui siku izo za mwisho tutakufaje. dawa kubwa ya wahujumu na wasaliti ni kuwaua.
 
Kula kwa urefu wa kamba haimaanishi kufanya uwizi na hujuma kaka hizo. Kura kwa urefu wa kamba ni kula vile unavyostahili, mfano mshahara, posho na marupurupu. Wakati wa yule katili hakukuwa na posho wala marupurupu warsha za kujengeana uwezo hazikuwepo, safari hazipo. Kulikuwa na njaa na dhiki tu.
Mwambieni aifafanue vizuri kauli yake. .maana wengine tunajichitoea tu mpaka tumevimbiwa.

Mfano wiki iliyopita nilichukua imprest Tshs 50m kwa ajili ya kwenda njombe kuwauliza wakulima wanaifurahia vipi hii mbolea mpya ya mchanga wa kujengea.
Nikitoka hapa nitachukua tena kama 30m niende kiwanda cha mbolea cha minjingu nikawapongeze kwa kuja na teknolojia mbadala ya kutumia mchanga kama mbolea na zaidi ni kuweza kuwauzia wanyalu kwa Tshs 70,000/= kwa kilo 25 ya mchanga
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO


===========

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.

Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.

Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
Alisema mzee Hashim Rungwe kipindi kile dak45 ITV kwamba hawa jamaa ni wizi sana
 
Mwambieni aifafanue vizuri kauli yake. .maana wengine tunajichitoea tu mpaka tumevimbiwa.

Mfano wiki iliyopita nilichukua imprest Tshs 50m kwa ajili ya kwenda njombe kuwauliza wakulima wanaifurahia vipi hii mbolea mpya ya mchanga wa kujengea.
Nikitoka hapa nitachukua tena kama 30m niende kiwanda cha mbolea cha minjingu nikawapongeze kwa kuja na teknolojia mbadala ya kutumia mchanga kama mbolea na zaidi ni kuweza kuwauzia wanyalu kwa Tshs 70,000/= kwa kilo 25 ya mchanga
Hahahahaha hiyo teknolojia imeletwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Club yako Dr Mshindo Msolla
 
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola
KAma anachakachua mbolea basi hata huo udakitari wake ni questionable, hapa naona yule wa std vii anayeliliwa na universities 11 ana maana zaidi kuliko huyu
 
Yaani yanga bhn,,sa ndo nini kuweka mchanga kwenye mbolea jamani
 
Back
Top Bottom