Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Wanyongwe iwe mfano au wafilisiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufisadi huu...Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
Alivyoukuta akachukua hatua gani?Aliegundua huo mchezo ni Antony mtaka, ndie aliukuta mchanga, Ila sifa kwa Bashe!!!
Aliwaweka Chini ya ulinzi na kuanza uchunguzi pamoja na kutaarifu mamlaka nyingine ikiwamo waziri muhusikaAlivyoukuta akachukua hatua gani?
Ukiona tume mahala ujue hapo kikombe kishafunikwaInfact hizi Tume za uchunguzi Huwa ni kufunika Kombe tu!
Kama hili la kuwaambia viongozi wale kwa urefu wa kamba zao kama kuna Mtanzania alilipokea kwa furaha, basi tuna safari ndefu kuyafikia maendeleo!Yeye mwenyewe ni walewale. Aliwapa viashiria mapema alivyoingia madarakani. Hataki ukali, kamtupa sabaya lupango na kuwarejesha waliyotemwa na jpm, kawaambia vigogo wale kwa urefu wa kamba zao za malisho. Kampiga jpm vijembe.
Unataka maelezo gani zaidi.😎😆
Hahaha binadamu kazi sana.Wajinga dizaini hii wanapaswa kunyongwa napema sana na hela ya kununua kamba wachangishwe wana familia wa huyu mpuuzi.
Ndo wale wale walimkaribisha waziri kufungua mradi wa maji kumbe wamejaza maji kwenye tanki kubwa limefichwa mlimani, baada ya waziri kuondoka raia wamechota maji jioni tu maji yamekata
DuhHuyu ndio msola wa Yanga
hapo anahusishwaje na yanga sababu yeye aliishajitoa huko.mchambueni msola kama yeye na si msola wa yanga.Huyu ndio msola wa Yanga
Kwahiyo mbolea halisi ya minjingu ikoje?Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.
Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......
My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?
MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
===========
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.
Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.
Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
Kula kwa urefu wa kamba haimaanishi kufanya uwizi na hujuma kaka hizo. Kura kwa urefu wa kamba ni kula vile unavyostahili, mfano mshahara, posho na marupurupu. Wakati wa yule katili hakukuwa na posho wala marupurupu warsha za kujengeana uwezo hazikuwepo, safari hazipo. Kulikuwa na njaa na dhiki tu.Bila Rais kufuta ile kauli ya watu wale kwa urefu wa kamba zao, kila mtanzania atatafuta njia yake ya kulamba asali
HAPA PANA KESI LUKUKI, HUJUMA KWA UMMA, HUJUMA KWA KIWANDA!Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.
Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......
My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?
MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
===========
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.
Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.
Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.