Hauna akili wewe imagine angekuwa ndugu yako kasafirishwa kama huyo marehemu ungeandika huu upupu?Mbona wengine wanasafirisha na pikipiki?? Hii Ina highlights tuna shida ya kuwa na magari ya kusafirisha wagonjwa na miili ya waliokufa, huyo aliesimamishwa katolewa kafara tuu, tuna tatizo la kimfumo, ila waziri Jafo hakuona hili ? Karukia kumfukuza kazi ... ombea tusiwe na viongozi wenye ego, wanaotaka kufanya waonekane wanafanya kazi! It is sick to watch [emoji57][emoji848]
Je kuna anayefahamu wanasafirishaje miili ya waliokufa katika ndege za abiria?
Hauna akili wewe imagine angekuwa ndugu yako kasafirishwa kama huyo marehemu ungeandika huu upupu?
Mtu mpumbavu kama wewe hustahili heshima.Jifunze kuandika bila ku disrespect members wengine, Nyau wewe!
NdiyeHivi ndiyo DED au
Ova
Wakurugenzi wana mkosi ganiNdiye
Kwani shida iko wapi?mbona kwenye ndege wanaweka kwenye buti na spare tyre .Waziri Jafo amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime kwa kusafirisha mwili wa mtumishi juu ya carrier ya gari.
===
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmasharauri ya Wilaya ya Tarime, Jumanne Yassin ili kupisha uchunguzi
Yassini anatuhumiwa kusafirisha mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Emmanuel Joseph Sizo juu ya Carrier ya gari, kama ambavyo baadhi ya picha za mtandaoni zilizosambaa zilionesha
Emmanuel alifariki Januari 10 kwa ajali ya gari Mkoani Singida, taarifa imesema kitendo cha kusafirisha maiti kwa utaratibu huo ni kinyume na kanuni Q.7(1) ya Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma.
Pia soma > Mkurugenzi wa Tarime mjini apata ajali Manyoni Singida
Ukishakufa hauna thamani tena ndiyo maana hata kwenye ndege unatupiwa sehemu ya mizigo huenda mkurugenzi aliapply namna hiyo akaamua awekwe kwenye carrier maana ni mzigo huo
Huo ndio ukweli wenyewe.....Dah, Tanzania nchi yangu, nakupenda kwa moyo wote. Tutafika tu
Awajibishwe tuu kwa kweliWakurugenzi wana mkosi gani
Awamu hii any way acha awajibishwe
Ova
Nadhani ni ile nidhamu ya uonga ambayo inawasumbua wateule wengi wa rais, yaani wana ka ujinga fulani ka kumtafasiri vibaya Dkt Magufuli na hawamuelewi, yaani aliposema wabane au kupunguza matumizi hajamaanisha kunyanyasa wafanyakazi kwa njia aina yeyote, naamini very soon Dkt Magufuli atatumbua watendaji wengiDuuuu! Kaimu mkurugenzi katisha, nataka kujua hakuna watu waliomshauri kuwa kufanya hivyo sio uungwana
Mtu mpumbavu kama wewe hustahili heshima.
Kama unaona marehemu kusafirishwa hovyohovyo ni sahihi kwako unahitaji heshima gani mpuuzi wewe hunijui sikujui.
Huko kanisani huwa mnaenda kufanya nn kama hamuonyeshi utu, ubinadamu na uungwaana mnakariri tu biblia kama riwaya?
Unadhani mm n mweupe sijui taratibu katika halmashauri zinavyofanyika?
Na nitanyoka na wewe mpaka dakika ya mwisho,nina uchungu huyo marehemu ni ndugu yangu.
Michango ya watu wajinga kama nyie ndo inafanya CHADEMA idharaulike.
NONSENSE!
Unanitisha au??
Eti si stahili heshima! Kweli wewe bwege!nani alikuambia natafuta heshima humu? Utanifanya nini? Itakuwaje ukinikosea heshima?? ... Naona unajisahau hapa ni maandishi tu yanaonekana na sio anayeyaandika! Inawezekana wewe ni kipaka, ki mbwa au ki baboon ndio kinatype! Afu ndio nikuogope eti?!?
Umesema hunijui sikujui, mambo ya kanisani, Chadema Keep these nonsense to your self!
Simple: chukua time
Kwani Serikali anafanyia kazi kwenye mitandao?Very bad!
Mitandao pia inasaidia kukemea yanayoendelea huko Chato na hivi karibuni mnaweza kuona serikali ikitoa tamko rasimi kujibu tuhuma zilizoko mitandaoni kuhusiana na miradi ya Chato.
Labda walitaka bana matumiziAwajibishwe tuu kwa kweli
Halmashauri ina hospitali ngapi na magari mangapi ambayo yangeweza kutumika bila kupoteza utu na heshma kwa marehemu, serikali na jamaa zake