mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
gari ipo,alitakiwa awekwe ndani hapo mlango wa nyuma uende wazi,kwani mbona maiti nyingi zinasafirishwa kwa mtindo huo!!!Mbona wengine wanasafirisha na pikipiki?? Hii Ina highlights tuna shida ya kuwa na magari ya kusafirisha wagonjwa na miili ya waliokufa, huyo aliesimamishwa katolewa kafara tuu, tuna tatizo la kimfumo, ila waziri Jafo hakuona hili ? Karukia kumfukuza kazi ... ombea tusiwe na viongozi wenye ego, wanaotaka kufanya waonekane wanafanya kazi! It is sick to watch [emoji57][emoji848]
mambo mengine tunatetea akili mgando za watu.