gari ipo,alitakiwa awekwe ndani hapo mlango wa nyuma uende wazi,kwani mbona maiti nyingi zinasafirishwa kwa mtindo huo!!!Mbona wengine wanasafirisha na pikipiki?? Hii Ina highlights tuna shida ya kuwa na magari ya kusafirisha wagonjwa na miili ya waliokufa, huyo aliesimamishwa katolewa kafara tuu, tuna tatizo la kimfumo, ila waziri Jafo hakuona hili ? Karukia kumfukuza kazi ... ombea tusiwe na viongozi wenye ego, wanaotaka kufanya waonekane wanafanya kazi! It is sick to watch [emoji57][emoji848]
Labda dereva ndo kazingua mkuuSasa jambo kama hili eti kupisha uchunguzi upi sasa?
Lengo la adhabu huwa ni kuwaonya wengine wasirudie.Yamesha tendeka. Marehemu kisha zikwa.Kwa nini kuendeleza maumivu kwa walio hai? Barua ya onyo ingetosha. Kama fedha zingelikuwa nje nje ka zamani sidhani kama huu uzembe ungelitokea.
Angelifanya zaidi ya hapo, angeambiwa;"Kapiga dili"na kazi hana. Kitumbua cha leo, mtu hula kinachoonekana mbele yake. Hajali ni cha moto au ni kibichi, tumbo litaamua.
Hapo tumbo limehamua kumharisha mtu. Nidhamu za woga
Watu wengine mna UJINGA wa kuzaliwa nao?Au unamtetea ndugu yako aliesimamishwa kazi?Usitake dunia yote ione ujinga wako.Yamesha tendeka. Marehemu kisha zikwa.Kwa nini kuendeleza maumivu kwa walio hai? Barua ya onyo ingetosha. Kama fedha zingelikuwa nje nje ka zamani sidhani kama huu uzembe ungelitokea.
Angelifanya zaidi ya hapo, angeambiwa;"Kapiga dili"na kazi hana. Kitumbua cha leo, mtu hula kinachoonekana mbele yake. Hajali ni cha moto au ni kibichi, tumbo litaamua.
Hapo tumbo limehamua kumharisha mtu. Nidhamu za woga
Hawasaidii, ni jukumu lao. LGa ya kule walikotoka inatakiwa ku-refund gharama, but mipango ni ya LGA kulipotokea tatizoLGA alipofariki huyo bwana wangewasaidia tu
Ni sawa kwenye ndege wanaweka kwenye mizigo lakini kuna sababu nzuri ya kufanya hivyo na si vinginevyo. Huku kwenye magari tunatakiwa kuonyesha utu japo kidogo basi.Kwani shida iko wapi?mbona kwenye ndege wanaweka kwenye buti na spare tyre .
Huo ni mzigo kama mizigo mingine mbona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Tanzania utasema siyo aliyoicha Nyerere kwa udikiteita tulionao wa Jiwe na aides wakeTarime utasema siyo Tanzania yaani kuna vituko sana!
Siyo lazima ulione wewe ndiyo liwe kosa. Pia siyo kosa bali si utaratibu wa jamii zetu kufanya namna hiyo.Hivi kosa hapo nini?maana mbona mwili umewekwa kwenye sanduku
Ova
Ni sawa kwenye ndege wanaweka kwenye mizigo lakini kuna sababu nzuri ya kufanya hivyo na si vinginevyo. Huku kwenye magari tunatakiwa kuonyesha utu japo kidogo basi.
Chadema mna roho mbaya sana!Hivi kosa hapo nini?maana mbona mwili umewekwa kwenye sanduku
Ova
Unaendeleaje na siku 10 za maombi kiongoziUkishakufa hauna thamani tena ndiyo maana hata kwenye ndege unatupiwa sehemu ya mizigo huenda mkurugenzi aliapply namna hiyo akaamua awekwe kwenye carrier maana ni mzigo huo