Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwa hiyo tutakuwa wageni wa Magufuli! Mabasi yataandikwa from Dr Magufuli to Nanjilinji!Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.
Huyu jafo rais alishasema hatoshi kwenye uwaziri . Naona anajipendekezaJ J Mnyika International Bus Terminal
Tusiwasahau wapinzani jamani!
Badirini na jina la Tanzania liwe jamhuri ya muungano wa Dr John Joseph pombe magufuliWaziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.
Pale Mpanda kuna mizengo pinda bus standHistoria inaonyesha majina ya stendi huakisi majina na mji/mkoa stand ilipo. Kufanikisha hoja ya Mh Waziri Japo mkoa au wilaya ilipo stand ubadilishwe jina
Huyu muimba kaswida za kumsifu mtu mbona hasemi daraja la kwenda kwao mkuranga lipewe Jina la Magufuli?Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.
Uitwe mzee mgaya bus terminalJ J Mnyika International Bus Terminal
Tusiwasahau wapinzani jamani!
J J Mnyika anatosha bwashee!
Huu mradi initiator ni Kikwete why asipewe heshima hiyo
Au tumpe waziri Gwajima coz ametufanyia makubwa secta ya afya
Hivi kwa mapenzi ya dhati na Rais wangu naruhusiwa kumwita paka wangu jina la Rais wangu?
Msaada wa kisheria please.
Itakuwa ya kwanza.Pale Mpanda kuna mizengo pinda bus stand
Hata Nchi ibadilishwe jina,iitwe Nchi ya MAGUFULI.Mi naona abadilishe jina na mkewe pia. Kwa sababu ya juhudi
Rais mtukufu from Chatooooooò😆😆😆😆😆 piga kelele kwa magu yakeeeeeeeeeeeIkiwezekana wabadilishe na jina la nchi kabisa liwe Jamhuri ya Muungano wa Magufuli. Nadhani hii itafikisha shukrani zaidi kwa Mheshimiwa maaana kabla yake tulikuwa hata hatuvuti hewa lakini toka kuingia yeye madarakani tunavuta oxygen kwa wingi, mvua zimeongezeka na hata ardhi imekuwa na rutba zaidi.
Wangeita hata jenerali musuguri au abdallah twalipo basi.Upumbavu mtupu kuna watu wameipigania nchi hii kwa nguvu vita ya Uganda ht hawatambuliki
Hapan mm naon ingepewa hadh ya mwl nyerereWaziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amesema kutokana na stendi mpya ya mabasi ya Mbezi Luis kuwa na hadhi ya kimataifa, anapendekeza ipewe jina la Dkt. John Magufuli kama sehemu ya shukrani na kuthamini jitihada alizofanya, ambapo amesema atamuomba Rais aridhie ombi hilo.