Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Pana kila dalili ya unafikinaizition.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zamu ya Waislamu!Halafu Kuna pimbi mmoja anaotea eti jafo awe rais wa tz 2025. Ujinga wa hali ya juu sana
Ni zamu ya Waislamu!
Ndio mwenye sifa!Hatutaki muislamu pimbi
Hana, sifa za kujibaraguza anazo za uongozi hanaNdio mwenye sifa!
Hii itakuwa ni siasa ya kujipendekezaLakin Mpanda kuna mizengo pinda stand
H.Mdee bus terminalJ J Mnyika International Bus Terminal
Tusiwasahau wapinzani jamani!
Sio stand mpy atu! Mimi napendekeza hata jina la Dar es Salaam libadirisuwe na kuitwa "Pombe Magufuli city." CHADEMA kama mnawivu na Maendeleo aliyotuletea Magufuli, mjue hakuna Raisi aliyetuletea Maendeleo kama huyu tangu tupate Uhuru.Kusifu na kuabudu.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo Kuna watu watagoma kupelekwa kwa mzee babaKwaio mabus yatakua yanaandikwa Morogoro to Magufuli[emoji1787][emoji23][emoji23]