"Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
We need 1. Paramagamba Kabudi, au 2.Mwigulu Nchemba. Hao wengine Wote wanauwezo ila kuangalia Mwenye uwezo wa kuhakikisha nchini Kwetu haturuhusu Sera za kutetea ushoga kwa karipio kali. Na namba 3. Jasusi Mbobezi asingekuwa na kiherehere alikuwa anafaa kidogo maana tunaowahitaji ni Wale wenye akili za kutoendeshwa na hisia za Watoto na Wajukuu wa Wakoloni.Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na seleman jaffo kuwepo sasa njia ya chamwino 2025 ni nyeupee
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda....
Wewe Magu huyu siyo wa kuamini. Juzi kasema ana reserve kwenye wabunge wa majimbo. Ila cha ajabu ili kupata naibu wazi imebidi ateue mbunge."Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."
Hahah wkt Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.
Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama?NEVER.
We need 1. Paramagamba Kabudi, au 2.Mwigulu Nchemba. Hao wengine Wote wanauwezo ila kuangalia Mwenye uwezo wa kuhakikisha nchini Kwetu haturuhusu Sera za kutetea ushoga kwa karipio kali...
Kwa hio umeshawahi kumuona Magu akitoa kipaumbele kwny hayo mambo ya Gender kwny utawala wake sio?Wewe Magu huyu siyo wa kuamini. Juzi kasema ana reserve kwenye wabunge wa majimbo. Ila cha ajabu ili kupata naibu wazi imebidi ateue mbunge.
Hii naikubali.Mwinyi yupo field zanzibar, atakuja kufanya kazi ya Urais huku.
Hakutakuwa na raisi mwanamke....Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Nakuona Think Tank wa CCM.We need 1. Paramagamba Kabudi, au 2.Mwigulu Nchemba. Hao wengine Wote wanauwezo ila kuangalia Mwenye uwezo wa kuhakikisha nchini Kwetu haturuhusu Sera za kutetea ushoga kwa karipio kali. Na namba 3...
Hii post yako inaweza mfanya Jafo atengenezewe scandal na system ili aondolewe kwenye uwaziri na kufutwa kwenye uso wa siasa za Tanzania kama wengine.
Sijui hamjagundua kuwa Meko hataki mtu yoyote apate umaarufu kisiasa zaidi yake. Maana yake anampango wa kuendelea kuongoza zaidi ya miaka hata 20.
Kama unabisha save hii post yangu kabla ya 2022 kuisha ukiona katiba inabadilishwa na kuongezewa muda njoo usome tena nilichoandika hapa na ndyo utaelewa.
Hao wasubirie 2035 ,2025 ni zamu ya waislamu Ili tule mema ya nchi,tukisubiria 2035 awamu ya msoto tena akiingia Mkristo.We need 1. Paramagamba Kabudi, au 2.Mwigulu Nchemba. Hao wengine Wote wanauwezo ila kuangalia Mwenye uwezo wa kuhakikisha nchini Kwetu haturuhusu Sera za kutetea ushoga kwa karipio kali. Na namba 3...