Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.

Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Ikulu ziko nyingi mkuu hata Wilayani na Mikoani kuna ikulu,kama ni hizo hata sasa njia ni nyeupe 2025 ni mbali asisubirie..

Tunaenda na Samia👇

JamiiForums-911681403.jpeg


JamiiForums971686387.jpeg
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
You are highly anointed. Now we know.

So it's written "touch not the anointed one". Hatupaswi kukuvurumishia mawe, Bali unastahili kulindwa utujalie mengi yajayo.
 
Amueli tu jafu alikuwa nitishio tishio sana kipindi Cha urais wa jpm ndie mtoto pendwa wa jpm ata mkonda alikuwa aingii.
 
Back
Top Bottom