SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Uko vizuri jirani yanguJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko vizuri jirani yanguJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Ndiyo Rais sasa unasemaje?"Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."
Hahah wakati Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.
Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama? NEVER.
Hebu rudia tena !Hakutakuwa na raisi mwanamke....
hiyo habari ya kufikirika....
Nimekukubali Mkuu!Mwakani kutakuwa na msiba mkubwa wa furaha
Hapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
Unasemaje??!!
Akikujibu niiteUlijuaje itakuwa hivi?
Kifo cha Magu kilipangwaHow did you know,tena uli comment kwa uhakika kabisa.kuna jamaa humu naye alisema hivi hivi kuna uwezekano mkubwa kifo cha Magufuli kilipangwa tofauti na watu tunavyo dhania.
Sio kanisa hawa ni watu wa KikweteNaomba kuelekezwa lilipo kanisa lako
Comment ya jamaa nimeipata. Duh yule mzee. Inafikirisha sana.Naomba kuelekezwa lilipo kanisa lako
Na Mungu kuwanusuru waTzKifo cha Magu kilipangwa
Mtoa mada ulidhalilisha sana Taasisi ya ku Rais kwa hayo majina uliyoyataja hapo juu. Makonda bila kusukumwa na Mzee Sitta kwenye u DC, hata ukatibu tarafa hastahiliBaada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Yani mwenyewe niliwaza kwakweliComment ya jamaa nimeipata. Duh yule mzee. Inafikirisha sana.
Aise!Mwakani kutakuwa na msiba mkubwa wa furaha
Umechoka mkuu, sio?Aise!
Acha tu mkuuUmechoka mkuu, sio?