Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.

Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Mbona kama unaota mchana. Eti Jafo! Wow! We endelea kuota mchana mwanangu.
 
Kwa hio umeshawahi kumuona Magu akitoa kipaumbele kwny hayo mambo ya Gender kwny utawala wake sio?

Baraza lake la Mawaziri lenyewe wanawake ni 4 tu,ndio leo nafasi kama ya urais awafikirie wanawake?Haipo hio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."

Hahah wakati Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.

Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama? NEVER.
Kapewa na Mungu
 
"Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."

Hahah wakati Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.

Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama? NEVER.
Kicheko bado kipo? Kampa urais hajampa, all things considered?
 
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.

Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Kifo cha JPM, imekula kwà Mnyeti mazima kisiasa.
 
Back
Top Bottom