Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Vipi mmeshakaanga?Hapo kwa mama Samia huko sahihi kabisa na atakuwa rais mwakani kwa mujibu ya Katiba yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mmeshakaanga?Hapo kwa mama Samia huko sahihi kabisa na atakuwa rais mwakani kwa mujibu ya Katiba yetu.
Kwa katiba hii na tume hii ya Mahera ccm wana uwezo wa kufanya lolote wanalotaka.Siku ccm watakapoteua mgombea urais mwanamke ndipo watakapokuwa wamejifunga bao wenyewe mchana kweupee tena bao LA mkono!!
Mkuu,Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba...
Naomba usisahau kuwa pia ana reserve ya wabunge wa kuteauliwa na Rais!Wewe Magu huyu siyo wa kuamini. Juzi kasema ana reserve kwenye wabunge wa majimbo. Ila cha ajabu ili kupata naibu wazi imebidi ateue mbunge.
Sijui in vigezo gani umeviangalia kwa Jaffo.Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba...
Nakubaliana na weweJaffo anaweza kutenguliwa muda wowote
Hawa ni wapiga dili wote isipokuwa MavundeBaada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba...
Kwahiyo unataka kuniambia tujiandae na misafara ya first lady wanne sio, maana jamaaa ana wake wanne sasa hiyo gharama itatoka kwenye hizi hizi kodi za maskini na wanyonge au itakuwaje? Hatutaki upuuzi huo kama kakutuma mwambie kuna uraisi wa TFF pia.Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba...
ukiona kijana mdogo ana wake 7 huyo hata kikao cha harusi hapaswi kuongozaBaada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Na watahudumiwa wote wanne hadi kufaKwahiyo unataka kuniambia tujiandae na misafara ya first lady wanne sio, maana jamaaa ana wake wanne sasa hiyo gharama itatoka kwenye hizi hizi kodi za maskini na wanyonge au itakuwaje?hatutaki upuuzi huo kama kakutuma mwambie kuna uraisi wa TFF pia.
Hii mimi naikubali kabisa mana mzee anatembelea nyayo kama za baba yake kabisa. Apa anaefata ni Mwinyi baada ya kumaliza field.Mwinyi yupo field zanzibar atakuja kufanya kazi ya uraisi huku.
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Hakuna Rais Hapo kwani Rais ndo anachagua au wananchi?Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Yaani hujui kwamba anaeandaliwa ni Mwinyi wa Zanzibar mbona iko waziBaada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Mpaka atangulie . Which ni another story. Hata hivyo ikitokea atakaimu kwa muda. Until rais mwingine atakapo chaguliwaJe aliyepo akitangulia mbele ya haki,huyo mama atakamatia?