Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Hii post yako inaweza mfanya jafo atengenezewe scandle na system ili aondolewe kwenye uwaziri na kufutwa kwenye uso wa siasa za Tanzania kama wengine.

Sijui hamjagundua kuwa Meko hataki mtu yoyote apate umaarufu kisiasa zaidi yake. Maana yake anampango wa kuendelea kuongoza zaidi ya miaka hata 20.

Kama unabisha save hii post yangu kabla ya 2022 kuisha ukiona katiba inabadilishwa na kuongezewa muda njoo usome tena nilichoandika hapa na ndyo utaelewa.
Ramli chonganishi
 
Jaffo ni mwepesi sana, hawezi kuhimili mikiki mikiki ya nchi hii na mikwara ya mabeberu. Wamuandae kuwa waziri mkuu anaweza kufaa.
 
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.

Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Majungu hayo! Urais hauokotwi kama dodo.
 
Mi naona tupewe yule RC Hapi tu...Nafikiri atatufaa maana ni muda wa kupooza machungu humo 2025-2035
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Tanzania haijafikia kiwango cha kuongozwa na mwanamke. Rais ajaye hawezi kujulikana mapema hivi
 
HUSSEIN ALLY HASSAN MWINYI

JANUARY YUSUPH MAKAMBA

SULEIMAN JAFFO

MAJINA YA KUJADILIWA NI HAYA HAPA

MAJALIWA SIO KARATA YA TURUFU KIKAO CHA WACHAWI KIMESHAKAA NA HAO NDO WAMEONEKANA WATU WA MUHIMU KUJA KULIPONYA TAIFA BAADA YA MAISHA YA DHIKI

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
HUSSEIN ALLY HASSAN MWINYI

JANUARY YUSUPH MAKAMBA

SULEIMAN JAFFO

MAJINA YA KUJADILIWA NI HAYA HAPA

MAJALIWA SIO KARATA YA TURUFU KIKAO CHA WACHAWI KIMESHAKAA NA HAO NDO WAMEONEKANA WATU WA MUHIMU KUJA KULIPONYA TAIFA BAADA YA MAISHA YA DHIKI

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Katika hawa watu wote Kassim Majaliwa ndio mwenye uwezo zaidi Yao
 
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.

Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Hatuwezi Tena kuongozwa na akili ndogo.Nasema hapana.
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Mwanamke hapana na waziri mkuu hapana,rais ajaye Ni Hussein Mwinyi Kama Ni lazima atoke chama chakavu
 
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.

Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Huh,

Mwigulu ndie atakuwa[emoji4]
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Hii issue ya kuongeza muda inaniboaga sana.

Mbona mnapenda kulazimisha mambo. Au na wewe uko na maslahi.?
 
Hii post yako inaweza mfanya jafo atengenezewe scandle na system ili aondolewe kwenye uwaziri na kufutwa kwenye uso wa siasa za Tanzania kama wengine.

Sijui hamjagundua kuwa Meko hataki mtu yoyote apate umaarufu kisiasa zaidi yake. Maana yake anampango wa kuendelea kuongoza zaidi ya miaka hata 20.

Kama unabisha save hii post yangu kabla ya 2022 kuisha ukiona katiba inabadilishwa na kuongezewa muda njoo usome tena nilichoandika hapa na ndyo utaelewa.
Hakuna kitu kama hiki. Au uko kumpigia debe na kupima upepo[emoji53]
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Samia na Majaliwa hadi 2025 wote watakuwa na 65+ hukuwezi kuwa na Raid mzee kiasi hicho
 
We need 1. Paramagamba Kabudi, au 2.Mwigulu Nchemba. Hao wengine Wote wanauwezo ila kuangalia Mwenye uwezo wa kuhakikisha nchini Kwetu haturuhusu Sera za kutetea ushoga kwa karipio kali. Na namba 3. Jasusi Mbobezi asingekuwa na kiherehere alikuwa anafaa kidogo maana tunaowahitaji ni Wale wenye akili za kutoendeshwa na hisia za Watoto na Wajukuu wa Wakoloni.

4. Paulo Makonda @Bashiteee - ndiyo ngao zetu Ukimuona Mtu Wazungu wanamchukia Jua huyo ndo anafaa saana. Wazungu wanapenda watu wanaowakandamiza waafrika ila Wanawatukuza wao. We tired on that stupidity 🦾🦾🦾🦾
Kabudi, Mwigulu na Makonda wote in wakristo,Rais ajaye lazima awe muislam.
 
Mwinyi yupo field zanzibar atakuja kufanya kazi ya uraisi huku.
Huwezi risk machafuko tena Zanzibar kww kufanya uchaguzi wa mtu mwingine tena hasa ukizingatia hali ya kisiasa tuliyonayo dhidi ya ulimwengu.
 
Back
Top Bottom