Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ramli chonganishiHii post yako inaweza mfanya jafo atengenezewe scandle na system ili aondolewe kwenye uwaziri na kufutwa kwenye uso wa siasa za Tanzania kama wengine.
Sijui hamjagundua kuwa Meko hataki mtu yoyote apate umaarufu kisiasa zaidi yake. Maana yake anampango wa kuendelea kuongoza zaidi ya miaka hata 20.
Kama unabisha save hii post yangu kabla ya 2022 kuisha ukiona katiba inabadilishwa na kuongezewa muda njoo usome tena nilichoandika hapa na ndyo utaelewa.
Majungu hayo! Urais hauokotwi kama dodo.Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Na awamu inayokuja rais hawez kuwa mkatoliki atakua Ni yakheeJiwe hawezi mwachia nchi muislamu, yaani hamjui tu hadi leo
Tanzania haijafikia kiwango cha kuongozwa na mwanamke. Rais ajaye hawezi kujulikana mapema hiviJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Katika hawa watu wote Kassim Majaliwa ndio mwenye uwezo zaidi YaoHUSSEIN ALLY HASSAN MWINYI
JANUARY YUSUPH MAKAMBA
SULEIMAN JAFFO
MAJINA YA KUJADILIWA NI HAYA HAPA
MAJALIWA SIO KARATA YA TURUFU KIKAO CHA WACHAWI KIMESHAKAA NA HAO NDO WAMEONEKANA WATU WA MUHIMU KUJA KULIPONYA TAIFA BAADA YA MAISHA YA DHIKI
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Hatuwezi Tena kuongozwa na akili ndogo.Nasema hapana.Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Mwanamke hapana na waziri mkuu hapana,rais ajaye Ni Hussein Mwinyi Kama Ni lazima atoke chama chakavuJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Basi atakuwa mpetekoste,Na awamu inayokuja rais hawez kuwa mkatoliki atakua Ni yakhee
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Huh,Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Hii issue ya kuongeza muda inaniboaga sana.Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Hakuna kitu kama hiki. Au uko kumpigia debe na kupima upepo[emoji53]Hii post yako inaweza mfanya jafo atengenezewe scandle na system ili aondolewe kwenye uwaziri na kufutwa kwenye uso wa siasa za Tanzania kama wengine.
Sijui hamjagundua kuwa Meko hataki mtu yoyote apate umaarufu kisiasa zaidi yake. Maana yake anampango wa kuendelea kuongoza zaidi ya miaka hata 20.
Kama unabisha save hii post yangu kabla ya 2022 kuisha ukiona katiba inabadilishwa na kuongezewa muda njoo usome tena nilichoandika hapa na ndyo utaelewa.
Hivi kuna ukweli hapa?!Hao wasubirie 2035 ,2025 ni zamu ya waislamu Ili tule mema ya nchi,tukisubiria 2035 awamu ya msoto tena akiingia Mkristo.
Samia na Majaliwa hadi 2025 wote watakuwa na 65+ hukuwezi kuwa na Raid mzee kiasi hichoJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Kabudi, Mwigulu na Makonda wote in wakristo,Rais ajaye lazima awe muislam.We need 1. Paramagamba Kabudi, au 2.Mwigulu Nchemba. Hao wengine Wote wanauwezo ila kuangalia Mwenye uwezo wa kuhakikisha nchini Kwetu haturuhusu Sera za kutetea ushoga kwa karipio kali. Na namba 3. Jasusi Mbobezi asingekuwa na kiherehere alikuwa anafaa kidogo maana tunaowahitaji ni Wale wenye akili za kutoendeshwa na hisia za Watoto na Wajukuu wa Wakoloni.
4. Paulo Makonda @Bashiteee - ndiyo ngao zetu Ukimuona Mtu Wazungu wanamchukia Jua huyo ndo anafaa saana. Wazungu wanapenda watu wanaowakandamiza waafrika ila Wanawatukuza wao. We tired on that stupidity 🦾🦾🦾🦾
Huwezi risk machafuko tena Zanzibar kww kufanya uchaguzi wa mtu mwingine tena hasa ukizingatia hali ya kisiasa tuliyonayo dhidi ya ulimwengu.Mwinyi yupo field zanzibar atakuja kufanya kazi ya uraisi huku.