Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Seleman baba laoooooo, Jafo baba laooooo, CCM chama laoooooooo..........
 
Kugombea urais siyo lazima uwemo katika baraza la mawaziri. Tusianze utabiri mapema hivi tusije tukasababisha hata huo uwaziri ukapotelea njiani.
 
Kwahiyo unataka kuniambia tujiandae na misafara ya first lady wanne sio, maana jamaaa ana wake wanne sasa hiyo gharama itatoka kwenye hizi hizi kodi za maskini na wanyonge au itakuwaje? Hatutaki upuuzi huo kama kakutuma mwambie kuna uraisi wa TFF pia.
kwani wake wanne ndo nini? mbona king suleman alikuwa na wake zaid ya mia mbili? na ndo alikuwa mwanadam mwenye hekima sana.
tatizo lenu hamjui utam wa wake wengi, ukiwa na wake wengi raha sana na hekima nayo itaongezeka, hata mimi naoa wake saba yani raha sanaaa.
 
Ungesema Majaliwa labda.... lakini waswahili hawa... wali biriani ndo maendeleo kwako.
 
Mkuu unautani na cheo cha urais,jafo ni mswahili mswahili sana,hawezi na hatakuwa rais wa jmt,

Binafsi namkubali sana majaliwa,kama mh.rais magufuli anatusikia basi itakuwa vema ikiwa atatuletea huyu majaliwa
 
Mmeanza utabiri mapema badala ya kufanya kazi
 
Yaani mamilioni ya watanzania wote,hao ndiyo umeona wanapashwa kugimbea hiyo nafasi.

Tanua ubongo wako ufikirie zaidi,naona unaruka ruka ndani ya boksi.
 
Jafo, maja, palamagamba, ni mwendelezo wa kuwaachia nchi washamba, tumewachoka jamani, Mara mia yule mtalii aliyeko zanzibar!
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Sijui huwa ni nini ila hakuna Waziri Mkuu au VP mstaafu aliyewahi kupewa Nchi zaidi ya JK Nyerere. Majaliwa sidhani kama atapewa.
 
kwani wake wanne ndo nini? mbona king suleman alikuwa na wake zaid ya mia mbili? na ndo alikuwa mwanadam mwenye hekima sana.
tatizo lenu hamjui utam wa wake wengi, ukiwa na wake wengi raha sana na hekima nayo itaongezeka, hata mimi naoa wake saba yani raha sanaaa.
sio kuoa wake saba tu, wewe hata ukitaka kuolewa olewa tu.
 
Mm nahesabu siku tu baada ya kombe la dunia 2022 linalofatia tutakua na rais mwingine
 
Makada wa CCM mnakwama wapi aisee yaani hata mwaka bado haujaisha mmeshaanza kuongea mambo ya 2025
 
Dr Hussein Ally Mwinyi,akipiga Zanzibar midala,anakuja pande hii kupiga miteni,mwana Kisarawe bado Sana.
 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Mkuu,

Makamu wa Rais akifanya kazi mfululizo na Rais aliyeko madarakani na kukamilisha kwa pamoja muda wa miaka mitano mitano ujmla kumi hana sifa ya kugombea Urais maana ni sawa na Rais aliyeko madarakani kuongeza muda wake hiyo ikae kichwani
 
Back
Top Bottom