Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Wachonganishi mmeanza? Hakika vita ya uraisi imenoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani wake wanne ndo nini? mbona king suleman alikuwa na wake zaid ya mia mbili? na ndo alikuwa mwanadam mwenye hekima sana.Kwahiyo unataka kuniambia tujiandae na misafara ya first lady wanne sio, maana jamaaa ana wake wanne sasa hiyo gharama itatoka kwenye hizi hizi kodi za maskini na wanyonge au itakuwaje? Hatutaki upuuzi huo kama kakutuma mwambie kuna uraisi wa TFF pia.
Sijui huwa ni nini ila hakuna Waziri Mkuu au VP mstaafu aliyewahi kupewa Nchi zaidi ya JK Nyerere. Majaliwa sidhani kama atapewa.Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Wanaume tutakomaJaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Naunga mkono hoja kabisaHao wasubirie 2035 ,2025 ni zamu ya waislamu Ili tule mema ya nchi,tukisubiria 2035 awamu ya msoto tena akiingia Mkristo.
sio kuoa wake saba tu, wewe hata ukitaka kuolewa olewa tu.kwani wake wanne ndo nini? mbona king suleman alikuwa na wake zaid ya mia mbili? na ndo alikuwa mwanadam mwenye hekima sana.
tatizo lenu hamjui utam wa wake wengi, ukiwa na wake wengi raha sana na hekima nayo itaongezeka, hata mimi naoa wake saba yani raha sanaaa.
ntaanza na wewe, ntakutifua tope mpaka ukasimulie kwenu, nao wakija nawatifua wote, shuwain.sio kuoa wake saba tu, wewe hata ukitaka kuolewa olewa tu.
Mkuu,Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.