Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025

Ikulu ziko nyingi mkuu hata Wilayani na Mikoani kuna ikulu,kama ni hizo hata sasa njia ni nyeupe 2025 ni mbali asisubirie..

Tunaenda na Samia👇



 
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
You are highly anointed. Now we know.

So it's written "touch not the anointed one". Hatupaswi kukuvurumishia mawe, Bali unastahili kulindwa utujalie mengi yajayo.
 
Amueli tu jafu alikuwa nitishio tishio sana kipindi Cha urais wa jpm ndie mtoto pendwa wa jpm ata mkonda alikuwa aingii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…