Pre GE2025 Waziri Jafo: Zaidi ya Viwanda 28,000 Vimejengwa Ndani ya Miaka 4 ya Rais Samia.Ampongeza Kwa Kuleta Mageuzi Makubwa ya Uwekezaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vipo wapi viajiri hao vijana wa NETO? Au vinaonekana usiku tu? Itakua tushaizidi Ujerumani kwa sasa 80k sio mchezo yani! Kwa nini tunaagiza hadi toothpicks sasa?
 
Unajua kiwanda manake ni nini, mashine za kukoboa mnaita viwanda. Lakini nyie mnafanya propaganda hizi kwa faida ya nani? Kila siku ni kuhadaa watanzania tu hamuoni aibu, au mmelogwa?
 
Wakati unaandika ujinga Mimi nakupa location tuu ya viwanda πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DGRLjo3Oz0D/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Vipo wapi viajiri hao vijana wa NETO? Au vinaonekana usiku tu? Itakua tushaizidi Ujerumani kwa sasa 80k sio mchezo yani! Kwa nini tunaagiza hadi toothpicks sasa?
Viwanda havina nafasi Kwa walimu.
 
Tunaagiza hadi toothpicks eti tuna viwanda kuzidi Ujerumani labda vya uchawi
 
Viwanda elfu30 sijui vinajengwa kwa shetani ndiomaana hatuvioni wakati kwa idadi hiyo mikoa yote Tanzania isingekosa viwanda hata vitano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…