Pre GE2025 Waziri Jafo: Zaidi ya Viwanda 28,000 Vimejengwa Ndani ya Miaka 4 ya Rais Samia.Ampongeza Kwa Kuleta Mageuzi Makubwa ya Uwekezaji

Pre GE2025 Waziri Jafo: Zaidi ya Viwanda 28,000 Vimejengwa Ndani ya Miaka 4 ya Rais Samia.Ampongeza Kwa Kuleta Mageuzi Makubwa ya Uwekezaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vipo wapi viajiri hao vijana wa NETO? Au vinaonekana usiku tu? Itakua tushaizidi Ujerumani kwa sasa 80k sio mchezo yani! Kwa nini tunaagiza hadi toothpicks sasa?
 
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo

Nawakumbusha tuu kwamba sera ya Kufungua Nchi inalipa na imeleta majibu .👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DGlUKyzNpXW/?igsh=MXVpeW5odDltM3N5eg==

Unajua kiwanda manake ni nini, mashine za kukoboa mnaita viwanda. Lakini nyie mnafanya propaganda hizi kwa faida ya nani? Kila siku ni kuhadaa watanzania tu hamuoni aibu, au mmelogwa?
 
Propaganda mfu kabisa hizi, the south africa wanaoongoza kwa viwanda africa nzima hata 15000 havifiki
Nazungumzia viwanda vikubwa active

Ww na popoyo zako unakuja na praise zakijinga unadhani unaongea na wajinga wenzio humu ndani

Give us a break we dont need that bullshit
Wakati unaandika ujinga Mimi nakupa location tuu ya viwanda 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DGRLjo3Oz0D/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Vipo wapi viajiri hao vijana wa NETO? Au vinaonekana usiku tu? Itakua tushaizidi Ujerumani kwa sasa 80k sio mchezo yani! Kwa nini tunaagiza hadi toothpicks sasa?
Viwanda havina nafasi Kwa walimu.
 
Propaganda mfu kabisa hizi, the south africa wanaoongoza kwa viwanda africa nzima hata 15000 havifiki
Nazungumzia viwanda vikubwa active

Ww na popoyo zako unakuja na praise zakijinga unadhani unaongea na wajinga wenzio humu ndani

Give us a break we dont need that bullshit
Tunaagiza hadi toothpicks eti tuna viwanda kuzidi Ujerumani labda vya uchawi
 
1740848950234.png
 
Back
Top Bottom