jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Nawasalimu wanaJF.
Natoa nasaha kwa Januari Makamba Waziri wa Nishati ahakikishe anafanya commitment ya fedha kwenye strategy sahihi yaani ukamilishaji wa mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere hata kama hapendi.
Sidhani kama watanzania wanahitaji solutions za muda mfupi za vimegawati 80 katika kukabiliana na upungufu wa umeme.
uwekezaji wa muda mfupi wakati tuna massive decisive project ni ujuha kalulu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Natoa nasaha kwa Januari Makamba Waziri wa Nishati ahakikishe anafanya commitment ya fedha kwenye strategy sahihi yaani ukamilishaji wa mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere hata kama hapendi.
Sidhani kama watanzania wanahitaji solutions za muda mfupi za vimegawati 80 katika kukabiliana na upungufu wa umeme.
uwekezaji wa muda mfupi wakati tuna massive decisive project ni ujuha kalulu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!