Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna maana yeyote ile maana bila kutwambia nini kilitokea kwenye mradi wa gesi ya mtwara hatukubali kudanganywa.Nawasalimu wanaJF.
Natoa nasaha kwa Januari Makamba Waziri wa Nishati ahakikishe anafanya commitment ya fedha kwenye strategy sahihi yaani ukamilishaji wa mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere hata kama hapendi.
Sidhani kama watanzania wanahitaji solutions za muda mfupi za vimegawati 80 katika kukabiliana na upungufu wa umeme.
uwekezaji wa muda mfupi wakati tuna massive decisive project ni ujuha kalulu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Watwambie kwanini walitelekeza mradi wa bomba la gesi ya kutoka mtwara na kuparamia huo mradi wa mwl JK Nyerere HPKama akikuelewa nitag,huyo na timu yake wanahasira na marehemu
January ni mpigaji tu hana loloteAwamu iliyopita watendaji wa shirika walikua wanaogopa kumwambia marehemu ukweli kuwa tunahitaji kuboresha miundombinu yetu ili tupate umeme wa uhakika.
Kwa sasa nina imani na waziri januari na timu yake hawafanyi kazi kwa uoga bali wanasimamia mabadiliko na matokeo sahihi. Keep in mind umeme wa Hydropower unategemea hali ya hewa.
Wizi mtupuuuHydropower inategemea hali ya hewa Yes...hali ya hewa ni pamoja na eli nino wakati fulani.
Huo ni ufisadi uliofanywa na jiwe kwa kuamua kufuja rasilimali fedha za watanzaniaUshafutwa tayari, ulikuwa wapi walipoenda Misri? Unafikiri walifwata nini?
Hilo bwawa la jiwe lishatupwa hatuna mpango naloWakikamilisha bwawa watapata wapi michongo ya upigaji kwenye nishati?
Hakuna kitakacho endelea hapoBado unaweza kupiga dili kwenye bwawa hilo.but for the betterment of Mother Tanzania tukamilishe huu mradi then tuanze kupambana na neo features za madili ya hydropower.
Na haijatokea tangu tupate uhuruCCM Kamwe Haiwezi Kuwaletea Maendeleo
Labda kwa kuleta umasikini hapa dunianiCCM ndio ALPHA NA OMEGA
Kama waliaminishwa na Kessy kuwa jiwe ni masia na wao wakaamini watashindwaje kuamini hivyo?Ndivyo Mnavyoaminishwa pale lumumba
Wanakufa watuUnaombea mradi ufe?
Hivi huwa anapita pita humu walau asikie huu ushaur?Nawasalimu wanaJF.
Natoa nasaha kwa Januari Makamba Waziri wa Nishati ahakikishe anafanya commitment ya fedha kwenye strategy sahihi yaani ukamilishaji wa mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere hata kama hapendi.
Sidhani kama watanzania wanahitaji solutions za muda mfupi za vimegawati 80 katika kukabiliana na upungufu wa umeme.
uwekezaji wa muda mfupi wakati tuna massive decisive project ni ujuha kalulu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kalemani tumekusikiaNawasalimu wanaJF.
Natoa nasaha kwa Januari Makamba Waziri wa Nishati ahakikishe anafanya commitment ya fedha kwenye strategy sahihi yaani ukamilishaji wa mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere hata kama hapendi.
Sidhani kama watanzania wanahitaji solutions za muda mfupi za vimegawati 80 katika kukabiliana na upungufu wa umeme.
uwekezaji wa muda mfupi wakati tuna massive decisive project ni ujuha kalulu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Maneno ya kijinga tu haya kuna nchi haazizimi umeme.Awamu iliyopita watendaji wa shirika walikua wanaogopa kumwambia marehemu ukweli kuwa tunahitaji kuboresha miundombinu yetu ili tupate umeme wa uhakika.
Kwa sasa nina imani na waziri januari na timu yake hawafanyi kazi kwa uoga bali wanasimamia mabadiliko na matokeo sahihi. Keep in mind umeme wa Hydropower unategemea hali ya hewa.
Kwahiyo kama nchi ya marekani haizimi umeme unataka na Tanzania isizime umeme akili za kifaller hiziManeno ya kijinga tu haya kuna nchi haazizimi umeme.