Waziri Januari Makamba hakikisha mradi wa bwawa la umeme la mwalimu Nyerere unakamilika

Hauna maana yeyote ile maana bila kutwambia nini kilitokea kwenye mradi wa gesi ya mtwara hatukubali kudanganywa.
 
Kama akikuelewa nitag,huyo na timu yake wanahasira na marehemu
Watwambie kwanini walitelekeza mradi wa bomba la gesi ya kutoka mtwara na kuparamia huo mradi wa mwl JK Nyerere HP
 
January ni mpigaji tu hana lolote
 
Bado unaweza kupiga dili kwenye bwawa hilo.but for the betterment of Mother Tanzania tukamilishe huu mradi then tuanze kupambana na neo features za madili ya hydropower.
Hakuna kitakacho endelea hapo
 
Mabadiliko ya tabia nchi hayako scientific proven at ukiangalia kupanda kwa joto kwa karne hii ni kama 1pc, ndio maana Trump ali piga chini paris accord. Ila kuna uhalisia wake. Cha msingi ni kuna na chanzo cha uhakika. Tufikirie gas, nuclear, thermo, sola kuna nchi zime weka turbines chini ya maji kufatana na ocean currents
 
Hivi huwa anapita pita humu walau asikie huu ushaur?
 
Kalemani tumekusikia
 
Maneno ya kijinga tu haya kuna nchi haazizimi umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…