We endekeza huo uchawa Kama inawezekana huko kwa Nini hapa isiwezekane wkt STD zinazotumika ni hizohizo.hii nchi leo inaendeshwa je?Kwahiyo kama nchi ya marekani haizimi umeme unataka na Tanzania isizime umeme akili za kifaller hizi
Tunahujumiwa sababu ya ulaji kwenye miradi ya gesi, inaumiza sanaMakamba Tafadhali sana tunaomba huo mradi ukamilike kwa wakati.
Wapigaji wanapopewa mabucha mambo huwa kama hivi.Tunahujumiwa sababu ya ulaji kwenye miradi ya gesi, inaumiza sana
Empty set kwa kweliwapinzani wa bongo wangekua wanajitambua basi huu mradi usingeirudisha ccm 2025, maana ninajua hautakamilika kutokana na waziri alieteliuwa waziri wa nishati kua ni zero yaaani seti tupu kabisa hio.
map-bu yako unadhani sisi wajinga?Awamu iliyopita watendaji wa shirika walikua wanaogopa kumwambia marehemu ukweli kuwa tunahitaji kuboresha miundombinu yetu ili tupate umeme wa uhakika.
Kwa sasa nina imani na waziri januari na timu yake hawafanyi kazi kwa uoga bali wanasimamia mabadiliko na matokeo sahihi. Keep in mind umeme wa Hydropower unategemea hali ya hewa.
Hydropower inategemea hali ya hewa Yes...hali ya hewa ni pamoja na eli nino wakati fulani
Hydropower inategemea hali ya hewa Yes...hali ya hewa ni pamoja na eli nino wakati fulani