Waziri January Makamba anajua kulea na kufundisha uongozi, namuona Balozi Humphrey Polepole ameiva kiuongozi tofauti na zamani

Kuwa bosi ni title tu ila unahitaji uwe na watu wenye akili kulinda cheo chako.
Sio title tu, Makamba anaweza ndio maana hata huyo Magufuli wenu alimteua kuwa Waziri kwa miaka mingi, na hakuthubu kukata jina lake kwenye uchaguzi wa 2020 japokuwa alikuwa hampendi
 
Sio title tu, Makamba anaweza ndio maana hata huyo Magufuli wenu alimteua kuwa Waziri kwa miaka mingi, na hakuthubu kukata jina lake kwenye uchaguzi wa 2020 japokuwa alikuwa hampendi
Mmh.. kwenye Siasa kuna mambo mengi. Kuachwa ni kwa sababu za kisiasa tu. Makamba anakwiba pesa anapeleka Afrika Kusini huku jimboni kuko hoi. Hii ndio akili?

Makamba tangu awe Waziri wa Mambo ya Nje kashindwa aanzie wapi. Bora hata yule Mhaya Mulamula.

Makamba kapewa Tanesco katuingiza gizani hadi hatuelewi. Ila kawapa wahidi deal la maana na yeye akabaki na utajili.

Samia mwenyewe keshaona famba lile.
#Kataa wahuni.
 
Sio title tu, Makamba anaweza ndio maana hata huyo Magufuli wenu alimteua kuwa Waziri kwa miaka mingi, na hakuthubu kukata jina lake kwenye uchaguzi wa 2020 japokuwa alikuwa hampendi
Naam
 
Jukwaa limevamiwa na chawa na kunguni. Walamba viatu.

Sent from my CPH2067 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu kweli mna tetekuwanga za ubongo, yaani hako kapolepole kashindane na makamba kwa hoja?!!! Thubutu yakeeee! Ameachwa mbali mno. Umeuanza mwaka vibaya wewe!!
 
Makamba aliweza lini kujenga hoja?
Msijitoe ufahamu.
Miaka 100 ijayo January Makamba atakaribia 50% ya uwezo wa hoja na uongozi wa Humphrey Polepole.
Kuna watu kweli mna tetekuwanga za ubongo, yaani hako kapolepole kashindane na makamba kwa hoja?!!! Thubutu yakeeee! Ameachwa mbali mno. Umeuanza mwaka vibaya wewe!!
 
Makamba aliweza lini kujenga hoja?
Msijitoe ufahamu.
Miaka 100 ijayo January Makamba atakaribia 50% ya uwezo wa hoja na uongozi wa Humphrey Polepole.
Polepole anapata darsa ya uongozi kwa Makamba Junior
 
Januari makamba kiuongozi hana sifa za polepole. Hapo ni chawa tu wa makamba kujaribu kumuinua makamba kupitia polepole. Makamba amefeli kila mahali. Wizara ya nje kafeli kuingilia kisahihi na kwa muda muafaka kuokoa vijana waliyokua wamepelekwa umanamba huko israel kwa kisi gizio cha mafunzo. Tumeona thailand raia wake wakiachiwa ila sisi vijana wetu wameuliwa.
 
Vijana wengi wa kitanzania ni wa hovyo sana. Uchawa, ndio wanaweza. Yaan, MTU aliyeiba mitihan ya sekondari, Leo hii ndio awe na akili kuliko polepole.
 
Yeye mwenyewe hajawiva kiuongozi, atawezaje kumlea Polepole?

Makamba mna mu-overate sana lakini hana lolote zaidi ya kubebwa na Baba yake na mstaafu JK. Kaachiwa nishati kama waziri katuletea mgawo wa umeme. Rubbish tu hii eti ndiyo ana ndoto za kuwa Rais wa Tz. Ataishia Bumbuli tu
 
Vijana wengi wa kitanzania ni wa hovyo sana. Uchawa, ndio wanaweza. Yaan, MTU aliyeiba mitihan ya sekondari, Leo hii ndio awe na akili kuliko polepole.
John Major, waziri mkuu wa zamani wa uingereza hata shule alikuwa hana, Jackob Zuma hivyo hivyo, hayo mavyeti ya Polepole ya kukata viuno, sijui kasomea utamaduni na ngoma
 
Makamba aliweza lini kujenga hoja?
Msijitoe ufahamu.
Miaka 100 ijayo January Makamba atakaribia 50% ya uwezo wa hoja na uongozi wa Humphrey Polepole.
Binafsi ngoja nikuache, najua una matatizo ya sehemu hii si bure!
 
Polepole ni mtu bora sana kuliko huyo uliyemsema. Polepole anaweza hata kuongoza Nchi na siyo huyo mhuni wako
 
Kupata kichekesho kama hichi bonyeza:

*Kataawahuni*2025#
 
Ukipunguza upumbavu itakusaidia sana hasa kipindi hiki Cha January
 
Leo bosi wa polepole ni makamba yule alomsemea babaake vibaya hahahaha maisha haya ukipata nafasi mtukuze Mungu,waheshimu watu... Poor polepole
 
Hakuna waziri hapo kuna kilaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…