Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba ni legend, kavuka milima na mabonde.January hawezi mfundisha Polepole uongozi,mfatilie toka enzi za katiba mpya anampiga spana JK yuko very Smart.
Ni vile Jiwe alimlevya kibuli cha uzima ila ni bonge la mtu.Fuatilia speech aliyotoa alipomuwakilisha malaika mkuu kule ADDISABABA Ethiopia
Ukiwa mgeni kwenye siasa za nchi hii lzm Makamba awe legend wako maana huelewi chochote.Makamba ni legend, kavuka milima na mabonde.
Makamba alikuwa overatedYeye mwenyewe hajawiva kiuongozi, atawezaje kumlea Polepole?
Makamba mna mu-overate sana lakini hana lolote zaidi ya kubebwa na Baba yake na mstaafu JK. Kaachiwa nishati kama waziri katuletea mgawo wa umeme. Rubbish tu hii eti ndiyo ana ndoto za kuwa Rais wa Tz. Ataishia Bumbuli tu