Waziri January Makamba anajua kulea na kufundisha uongozi, namuona Balozi Humphrey Polepole ameiva kiuongozi tofauti na zamani

Waziri January Makamba anajua kulea na kufundisha uongozi, namuona Balozi Humphrey Polepole ameiva kiuongozi tofauti na zamani

January hawezi mfundisha Polepole uongozi,mfatilie toka enzi za katiba mpya anampiga spana JK yuko very Smart.
Ni vile Jiwe alimlevya kibuli cha uzima ila ni bonge la mtu.Fuatilia speech aliyotoa alipomuwakilisha malaika mkuu kule ADDISABABA Ethiopia
 
January hawezi mfundisha Polepole uongozi,mfatilie toka enzi za katiba mpya anampiga spana JK yuko very Smart.
Ni vile Jiwe alimlevya kibuli cha uzima ila ni bonge la mtu.Fuatilia speech aliyotoa alipomuwakilisha malaika mkuu kule ADDISABABA Ethiopia
Makamba ni legend, kavuka milima na mabonde.
 
Yeye mwenyewe hajawiva kiuongozi, atawezaje kumlea Polepole?

Makamba mna mu-overate sana lakini hana lolote zaidi ya kubebwa na Baba yake na mstaafu JK. Kaachiwa nishati kama waziri katuletea mgawo wa umeme. Rubbish tu hii eti ndiyo ana ndoto za kuwa Rais wa Tz. Ataishia Bumbuli tu
Makamba alikuwa overated
 
Back
Top Bottom