Yeye mwenyewe hajawiva kiuongozi, atawezaje kumlea Polepole?
Makamba mna mu-overate sana lakini hana lolote zaidi ya kubebwa na Baba yake na mstaafu JK. Kaachiwa nishati kama waziri katuletea mgawo wa umeme. Rubbish tu hii eti ndiyo ana ndoto za kuwa Rais wa Tz. Ataishia Bumbuli tu