Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na ziara inaanza huko,Kuna kichwa cha mtu kinaliwa,bi Kizmkazi Hana jipya Hana mvuto,anafikiri.kuteua ndo vibe,hapana tunaomba upish
 
Huko songea palivyo na mijivumbi akitoka hapo pua lote linatoa makamasi na TB juu.

Baadaye anaanza kuwaambukiza wasaidizi wake.

Naagiza jenista akamatwe mara moja.

Cc: DR Mambo Jambo
 
Evolution ya Unafiki Tanzania unatisha sana!
Zamani ukisikiliza Hotuba za Rais Nyerere zilijaa shukrani kwa ushirikiano wa Wananchi kufanikisha jambo hili au lile!
Siku hizi watu wanagalagala eti Rais anashukuriwa kwa kutoa fedha, mara kufanya hiki!
Siasa za tumbo zimepalilia sana Unafiki ndani ya CCM!
 
Huyu ndio alienda kuongea kwaajili ya taifa kule congo kikao cha WHO akawa anaongea ile iinglishi au sio huyu
 
Atolewe uwaziri hatuwez kuwa na mawaziri wanashukuru kwa kodi za wananchi ni majukumu na wajibu wake kuleta maendeleo kila kona ya nchi
 
Kaka usiumie professa asad alisema kuna watu wakp kwenye possition hawajui wafanye nini unaweza kuta wazir ila na yeye hajui afanye nn. yale yale ya bashite eti unaenda anadika instagram mbowe nasikia uko arusha karbu afu kesho mbowe yuko dsm unaweza kuona ni type gan ya viongozi tulikpkua nao hawajui wafanye nn kwenye possition zao
 
Fikiria huyo ni waziri anafanya huo uchawa, je chawa kama ChoiceVariable na Lukas mwashamba unadhani wanaweza kufanyaje? Lakini bahati mbaya kwa taifa chawa hao ndio wanaongoza wizara na idara mbalimbali za serikali.

..huyo anajua anachokifanya.

..akitoka hapo anakwea landcruiser V-8 anarudi zake mjini.

..tatizo liko kwa wananchi wa kawaida waliohadaika na propaganda hiyo.
 
Kwani kuna mkeka unatarajiwa???
 
naona inaleta upinzani kwa lucas kwa uchawa.haya mkumbusheni bi kmubwa ripotibya kibao .asijisahaulishe damu ya mtu nzito
 
Nadhani kama kuna mtu ambae amawakosha watu wa Paramiho leo, basi ni huyu waziri Jenista Muhagama. Kwasababu kwa umahiri mkubwa sana ametumia utamaduni wa Kingoni, kumshukuru Rais kishujaa sana kwa kuzingatia mila, desturi na utamaduni wa Kingoni, katika kumshukuru kiongozi mkuu, tena mkuu wa nchi na Taifa la Tanzania kwa kazi nzuri sana aliyoifanya kwa wananchi wa Jimbo la Paramiho.

Waziri Jenista Muhagama ameonyesha uhai wa utamaduni wa Kingoni kwenye kushukuru viongozi. Ametangaza utalii na utamaduni wa Kingoni kitaifa na kimataifa..

Sina hakika kama kuna mtu ana weza kushangaa kwa mfano, wale Vijanaa wa kisafwa wanaitwa WAMWIDUKA BAND wakiwa wamevaa zile nguo zao za kimili za magunia na vitu fulani kichwani...

Kwani wanyakyusa na wasukuma wakitupigia magoti wakiwa wanatusalimia ni utumwa ndrugu zango? Ni utambulisho muhimu sana ule na unafaa kuendelezwa na kila kabila nchini ili kutokupoteza utambulisho wao ambao pia ndio urithi muhimu wa kimila.

Nadhani waziri yuko sahihi sana 🐒
 
Huyo elimu yake ni ya kuunga na super glue , ukiona wasifu wake utabaki na mshangao.

Hadi kufika hapo ni kwa kubebwa bebwa na kujipendekeza hicho ni kitu kwa Tanzania ni kawaida mtu kushika ofisi hata asiyofuzu ilimradi tu kuna kitu anaoffer kwa wakubwa.
 
Umalaya tu unamsumbua ndiyo maana analala na vibenten
 
Ana miguu mibaya wenye foot fetish apa hawapati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…