Na ziara inaanza huko,Kuna kichwa cha mtu kinaliwa,bi Kizmkazi Hana jipya Hana mvuto,anafikiri.kuteua ndo vibe,hapana tunaomba upishWaziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
Picha na Edwin Mjwahuzi
View attachment 3105540
View attachment 3105541