Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Wanapenda kuisema sanaBangi imewakosea nini?😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda kuisema sanaBangi imewakosea nini?😀
leta vyote tu nijilipue 😂mshamba_hachekwi 😂😂 nikuletee biskuti au juice
Watakuwa wanaweka baada ya kukaanga bila shaka. Mungu atusaidie.sasa kama kwenye mihogo utawekaje mihogo ya kukaanga
Mkuu, kwa maslahi mapana ya umma itakuwa vizuri ukaiweka wazi hiyo kampuni na hicho kinywaji ili kuokoa wengi. Tunamshukuru Mungu serikali imeshtukia vinywaji vya energy drinks na kuvipiga marufuku baada ya uchunguzi wa TFMDA.Kuna soda kampuni fulani nilizoea kunywa ilikuwa ikifika muda ninaokunywaga nguvu mwilini zinaisha/kama sijala kwa siku mbili
Baada ya hali hiyo niliamua kupunguza mpaka sasa hali hiyo haipo.
Nadhani hata kwenye soda hasa zenye gesi hayo madawa yapo. Hii dunia ni ngumu sana
Hasa hizi soda na juice ukizizoea ni hatari sana mkuu. Hizi ndizo wanawekamo cocaine kabisa. Yaani zina uraibu sijawahi kuona. Namshukuru Mungu hata mimi nilitumbukia kwenye uraibu huo nikaje kuokoka nikakimbia nduki.Kuna soda kampuni fulani nilizoea kunywa ilikuwa ikifika muda ninaokunywaga nguvu mwilini zinaisha/kama sijala kwa siku mbili
Baada ya hali hiyo niliamua kupunguza mpaka sasa hali hiyo haipo.
Nadhani hata kwenye soda hasa zenye gesi hayo madawa yapo. Hii dunia ni ngumu sana
Bangi ukiwa unawatilia watoto wadogo kwenye keki, biskuti na maandazi zina uraibu acha kabisa mkuu.Bangi hainaga uraibu ni mtu tu na kichwa chake
Hivi vitu achana navyo kabisa mkuu; vina hatari kuliko unavyodhani. Ni bora kujilia vyakula vyako vya asili ambavyo sio rahisi mtu kuchomeka bangi zake.Ni hatari. Wengi watakuwa wamekula bila kujua. Mimi situmii vitu hivyo miaka mingi sana
Acha wivu wa kipunbavu wewe, kisa mama wa watu ameuza unaanza kuleta zengwe, haya kachukue sample ya hiyo mihogo nguruwe wewe 😡😡Watakuwa wanaweka baada ya kukaanga bila shaka. Mungu atusaidie.
Hapa mtaani kwetu kuna mama mmoja mkaanga mihogo anaishi karibu na shule. Kila siku wanafuzni huja kununua mihogo kwake. Wakishaonja mihogo hawataki kurudi shule mpaka walimu waje kuwafurusha. Huyu naye inabidi mhogo yake ichunguzwe isije ijawa kuna kitu anaitia.
Wewe mwachie mwanao aendelee kula mihogo usitake kuwalazimisha watoto wa watu wengine kula bangi.....kula wewe na familia yako tu, isiwe shida.Acha wivu wa kipunbavu wewe, kisa mama wa watu ameuza unaanza kuleta zengwe, haya kachukue sample ya hiyo mihogo nguruwe wewe 😡😡
Mkuu tahadhari ni muhimu sana. Hawo waandishi wa habari unaowabeza ndio walioibua suala la ushoga mashuleni. Vinginevyo taifa lingeendelea kuangamia pasipo kufahamu chanzo cha ushoga nchini.Tatizo la waandishi wa habari wa Tanzania hawahoji, wala kufuatilia habari.
Wao wakipewa wanachukua hivyo hivyo na kulisha Watu.
Mbegu gani mkuu? Mbegu ziko nyingi.Wewe unakulaga mbegu?
Achana na hizo keki mkuu.....ni hatari.....kula vyakula vya asili.Aisee hii dunia imeisha yaani tunalishana mabangi bila kupenda.... Km ni kweli basi hapo kwenye keki nimekamatika