Mimi asubuhi ni supu au mtori tena uliopikwa nyumbani. Mambo ya chai sijui kahawa au soda ni big NO.Hivi vitu achana navyo kabisa mkuu; vina hatari kuliko unavyodhani. Ni bora kujilia vyakula vyako vya asili ambavyo sio rahisi mtu kuchomeka bangi zake.
Mbegu za marijuanaMbegu gani mkuu? Mbegu ziko nyingi.
Ooooh sory !hiyo taarifa nilikua sijaona, nilipo sikia ganja ninajua ni kwasisi watumiajiBangi ukiwa unawatilia watoto wadogo kwenye keki, biskuti na maandazi zina uraibu acha kabisa mkuu.
Upo Sawa kabisa. Nahisi ulitumia Energy Drink mojawapo kati ya zile nyingi zilizopo sokoni. Vinywaji hivi, ambayo ni vya kuongeza nguvu, hujenga uraibu .Kuna soda kampuni fulani nilizoea kunywa ilikuwa ikifika muda ninaokunywaga nguvu mwilini zinaisha/kama sijala kwa siku mbili
Baada ya hali hiyo niliamua kupunguza mpaka sasa hali hiyo haipo.
Nadhani hata kwenye soda hasa zenye gesi hayo madawa yapo. Hii dunia ni ngumu sana
Bangi haina uraibu kijana acha ubishi na uongo.Bangi ukiwa unawatilia watoto wadogo kwenye keki, biskuti na maandazi zina uraibu acha kabisa mkuu.
Mkuu itabidi niache......vingine vyote vilivyotajwa hapo situmii ila hapo kwenye keki ndo waliponikea bangi! Binadamu tuna tamaa za ajabu. Kisa pesa tunawekeana bangi kwenye vyakulaAchana na hizo keki mkuu.....ni hatari.....kula vyakula vya asili.
Itabidi upeleke sample TFMDA mkuu.Nitazipataje nimpe mchepuko wangu alafu mimi nivute ya kawaida kisha tuingie kuzagamuana
Kivipi mkuu?Mbegu za marijuana
Muulize Jah people humo ndani!Kivipi mkuu?
Ndio maana nakupenda bibie...😘Bangi hizo za kwenye biskuti na asali haziendi kuliwa au kuvutwa, zinakwenda kwenye viwanda vya madawa ya Binadam yenye "extracts" za bangi.
Bangi iruhusiwe tu iwe inalimwa kwa uhuru na isafirishwe kihalali, ina faida kubwa sana kuliko madhara.
Sigara na pombe zina madhara zaidi ya bangi.
Weee! Usidanganye watu. Kama unatumiaga-Tumia mwenyewe.Bangi hainaga uraibu ni mtu tu na kichwa chake
Mwandisi katika sigara nakukubalia kabisa kwa sababu kumtibu mtu aliyaathirika kwa kansa ya tumbaku ni balaa miaka zaidi ya 10 ilikuwa inagharimu zaidi ya 6,000,000 sasa sijui kwa sasa.Bangi hizo za kwenye biskuti na asali haziendi kuliwa au kuvutwa, zinakwenda kwenye viwanda vya madawa ya Binadam yenye "extracts" za bangi.
Bangi iruhusiwe tu iwe inalimwa kwa uhuru na isafirishwe kihalali, ina faida kubwa sana kuliko madhara.
Sigara na pombe zina madhara zaidi ya bangi.
Takwimu za USA zinaonesha vifo vinavyosababishwa na ulevi ni vingi sana.Mwandisi katika sigara nakukubalia kabisa kwa sababu kumtibu mtu aliyaathirika kwa kansa ya tumbaku ni balaa miaka zaidi ya 10 ilikuwa inagharimu zaidi ya 6,000,000 sasa sijui kwa sasa.
ila kwenye pombe kwakweli watuache tu tupambane na hali yetu kwanza inakuza pato la ndani kwa kodi zake na inatoa ajira kwa watu wengi zisizo rasmi na chache rasmi.
Ilikuwa soda sio energy drinkUpo Sawa kabisa. Nahisi ulitumia Energy Drink mojawapo kati ya zile nyingi zilizopo sokoni. Vinywaji hivi, ambayo ni vya kuongeza nguvu, hujenga uraibu .