Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Na kuotesha vitambiUlaya uongozi ni majukumu mazito, Afrika uongozi ni ulaji mzito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuotesha vitambiUlaya uongozi ni majukumu mazito, Afrika uongozi ni ulaji mzito.
Kabisa, sisi wa pili.Wanaelewa sana ila sasa sema hakuna mwenye uwezo wa kujiuzuru maana wengi wao wapo kwa maslahi yao binafsi.
Wewe ni Masauni mwenyewe au SiroYaan kwa kiswahili fasaha kujitafakari ni kujipima kama una uwezo wa kuendelea na kazi uliyonayo.Unaweza kuachia ngazi au kubadilisha mwenendo wako ukaongeza bidii.Lakin naona wabongo wengi wamekalili kuachia tu ngazi.Nafikiri tusiwe na wivu na roho mbaya kwa wenzetu waliopo kwenye nafasi za kazi.Yaan ukifanya utafiti humu wengi hawawezi kumuombea mtu aendelee na nafasi yake na ajirekebishe.Watataka aachie ngazi wafurahi.Ndio tulivyo wabongo wengi.
Siro angejiongezea heshima yake kwa wananchi kama angeamua kuwachia ngazi.Wewe ni Masauni mwenyewe au Siro
Hata ambao huwa wanaamuru kura ziende upande mmoja nao wajitafakari.
Wanayotokea tangu march 2020 ni kusudi la Mungu.Shetani amevumilia ameshindwa.
Yeye anataka mamlaka imnyofoe hapo ofisini. Haamini ushauri huu.Siro angejiongezea heshima yake kwa wananchi kama angeamua kuwachia ngazi.
Kwa umri wa huyu mzee wetu angeutumia muda huu kuwaachia wengine yeye akajipumzikie kijijini kwake.
Nitaamini kama sasa mamlaka zina uthubutu kama watamuondoa huyo mzee hasa kwenye hii kashifa ya mauwaji.Yeye anataka mamlaka imnyofoe hapo ofisini. Haamini ushauri huu.
Kiswahili kigumuJana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
IGP afukuzwe kazi bila hivyo nchi itabaki hivi hivi, kila siku mauaji yatakuwa yanaendelea. Masauni inaonekana hawezi kumwambia chochote huyo IGP Sirro.Jana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Unadhan tume italeta majibu gani?Afadhali PM kaunda tume. Polisi wangelindana.
Waziri na IGP need to do something.Hata kama wakielewa msamiati sidhani wako tayari kuwajibika. Utamaduni na kawaida za nchi hii ni vigumu mtu kuamua kuwajibika kwa makosa ya walio chini yake. Katika historia ya Tanganyika/Tanzania huru kuna exceptions chache za uwajibikaji wa ku step down. Tunatakiwa kubadilika. Mauaji ni moja ya makosa makubwa kufanywa. Kosa la mauaji linatosha kabisa mtu kujipima na kuamua kuondoka. Inakuwa heshima kubwa kwa aliyeamua kuondoka na pia heshima kwa taasisi au idara yake
"Wamekalili" ndio kiswahili gani hichi?Yaan kwa kiswahili fasaha kujitafakari ni kujipima kama una uwezo wa kuendelea na kazi uliyonayo.Unaweza kuachia ngazi au kubadilisha mwenendo wako ukaongeza bidii.Lakin naona wabongo wengi wamekalili kuachia tu ngazi.Nafikiri tusiwe na wivu na roho mbaya kwa wenzetu waliopo kwenye nafasi za kazi.Yaan ukifanya utafiti humu wengi hawawezi kumuombea mtu aendelee na nafasi yake na ajirekebishe.Watataka aachie ngazi wafurahi.Ndio tulivyo wabongo wengi.
Jana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Italeta majibu mazuri kuliko Ile tume ya kipolisiUnadhan tume italeta majibu gani?
Ulaya uongozi ni majukumu mazito, Afrika uongozi ni ulaji mzito.