Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepigwa Risasi kina LISSU,AKWILINA mbona HawakujitafakariJana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Japo kakomaa, ila ninadhani bado ana imani kwamba uongozi ni majukumu na siyo ulaji hivyo basi akishindwa aseme ameshindwa na atatoka. Toka nipate akili nadhani baada ya Bi Margaret, hakuna PM wa UK kadumu zaidi ya miaka mitatu madarakani.Waziri Mkuu wa Uingereza itakuwa anatokea Afrika maana kakomaa hataki kujiuzulu
Japo kakomaa, ila ninadhani bado ana imani kwamba uongozi ni majukumu na siyo ulaji hivyo basi akishindwa aseme ameshindwa na atatoka. Toka nipate akili nadhani baada ya Bi Margaret, hakuna PM wa UK kadumu zaidi ya miaka mitatu madarakani.
Kadumu mingapi?Tony Blair?
Kadumu mingapi?
Oh 10 years. Sawa1997-2007
ISEE INATISHA kuhamashishq kula kutokana na urefu wa kambaAjitafakari kwanza yeye kwa kuhamasisha ufisadi katika Taifa.
Sisi siyo wajinga,tunaona na tunajua mauchafu ya Serikali yake.
View attachment 2108603
Inspekta Siro
Na mtu akiteuliwa tunampongeza kwa kuula, na wanakula kweli kweli...[emoji35]Ulaya uongozi ni majukumu mazito, Afrika uongozi ni ulaji mzito.
Yupo Tonny Blair na Godon BrownJapo kakomaa, ila ninadhani bado ana imani kwamba uongozi ni majukumu na siyo ulaji hivyo basi akishindwa aseme ameshindwa na atatoka. Toka nipate akili nadhani baada ya Bi Margaret, hakuna PM wa UK kadumu zaidi ya miaka mitatu madarakani.
Wameelewa Sana ila utekelezaji wa kuacha kitumbua hivihivi ndo Kuna changamotoJana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Nitaona Maza yuko serious siku akitangaza kuundwa Kamati kuhusu shambulio la Lissu.Jana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Daah we jamaaAjitafakari kwanza yeye kwa kuhamasisha ufisadi katika Taifa.
Sisi siyo wajinga,tunaona na tunajua mauchafu ya Serikali yake.
View attachment 2108603
Ngedere na nyani tabia zao zinalandana.Afadhali PM kaunda tume. Polisi wangelindana.
Huyo anayo mengi sana ya kujitafakari nayo.Na Mama nae ajitafakari kwa kesi ya Mbowe.
SwadaktaUlaya uongozi ni majukumu mazito, Afrika uongozi ni ulaji mzito.