Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Na kuvimbiwaNa mtu akiteuliwa tunampongeza kwa kuula, na wanakula kweli kweli...[emoji35]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuvimbiwaNa mtu akiteuliwa tunampongeza kwa kuula, na wanakula kweli kweli...[emoji35]
Masauni yupo too gentle namuona kama hafai kupewa wizara ngumu kama mambo ya ndani. Yupo diplomatic ni mpole.Jana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Acheni jmn upotoshaji... Kazakhstan rais kaoma kujuiuzulizu, UK Waziri mkuu licha ya kuwa na kashfa za kukiuka mahsarti ya serikali ya vikwazo vya corona lkn hatak kujiuzulu... mbona mnawatukuza sana hawa watuTupo afrika mkuu tena tz sio marekani. Yatapita kama yanavyopita mengine
Wanajuana hao, wakiwa faraghani wanatucheka tuJana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Wizara Mambo ya ndani inastahili kushikwa na waziri mkongwe na mwenye uzoefu kama Mh. Lukuvi ama mwanajeshi yeyote mstaafu wa JWTZ wenye sifa za kuweza kufanya shughuli za kisiasa.Jana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Madaraka matamu ndugu yangu.Jana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Ameagizwa na Rais janaAfadhali PM kaunda tume. Polisi wangelindana.
Nyinyi akina Nani mnataka muachiwe nchi yenu?Watuwachie nchi yetu
Hata yeye ajitafakariUongozi wote tu unafaa ujitafakari.
Rais mwenyewe ajitafakari, asitake kumuonea waziri. Waziri ndie kaua watu? Ok, polisi iko chini ya waziri Masauni, lakini polisi pamoja na Masauni wote wako chini ya rais, hivyo na awajibikeJana Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Mwanza, amemuambia waziri wa Mambo ya Ndani, Yusuph Masauni ajitafakari kwa mauaji yanayoendelea nchini.
Hadi Sasa waziri yupo kimya. Je yeye na IGP hawauelewi msamiati huu wa kiswahili?
Sisi ni watanzania wazareeendo na hao tunao waambia watuwachie nchi yetu ni mamluki majiziNyinyi akina Nani mnataka muachiwe nchi yenu?
Akina Nani wawaachie nchi yenu , kwanini waliichukua?