Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Amesema hayo katika Mkutano wake na Wadau wa Sekta ya Habari na Utangazaji, leo Desemba 18, 2024 ambapo amesema Serikali inatakiwa kuzungumza na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kuona namba ya kuwasaidia Waandishi kuhusu mafao yao.
Mara kadhaa na kwa nyakati tofauti, Wadau wa JamiiForums.com wametoa maoni na malalamiko wakidai Wamiliki na Viongozi wa Taasisi nyingi wamekuwa wakiwakata Waandishi makato ya NSSF katika mishahara yao lakini hawayafikishi sehemu husika.
Pia soma
~ Waandishi wa Habari Azam wanataabika Mikoani, wanahitaji msaada kulipwa stahiki zao
~ CCM lipeni haki za waandishi wenu (NSSF na madai mengine)
~ Tumeachishwa kazi kihuni na Global Publishers, wanataka kutudhulumu haki zetu, tufanye nini?