Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine

Mkuu mpambe wa Kalemani tunaomba utueleze sisi watumiaji tutalipa bei gani? Porojo hazitakusaidia kitu
 
Tusisahau ndugu zangu watz tunaposema "KIPINDI CHA JK" tusiwe na maana kwamba ilikuwa upigaji mtupu. Tukumbuke wakati anaingia tu nchi ilikuwa na matatizo makubwa ya umeme tena makubwa sana naamini jukumu lake kubwa lilikuwa kuhakikisha umeme unarejea katika hali ya kawaida.

Utapata wapi kwa haraka vyanzo vya kuzalisha umeme, jibu ni kukodisha magenarator ambayo yapo tu sokoni, katika hilo na wapiga deal wakawemo kama tunavyoona sasa hivi pamoja na hayati Rais wetu JPM kuwa mkali sana kwenye matumizi ya fedha za serikali, wapigaji kumbe walikuwemo tu!!! Kwa hiyo watz tuwe tunaweka kumbukumbu vizuri wakati wote.
 
Mleta mada umetafuniwa Kwanza ndipo ukaona uulize Hilo swali la kipuuzi, propesa Wakati analaumu uwekezaji na ujenzi wa bwawa la umeme, hakutaja gharama za uzalishaji wa umeme aliokuwa akiutetea,

Huyu waziri kaja na data, huoni kwamba kuna mtu anatafuta uteuzi Kwa nguvu?
 
Cc:- Prof.S. Muhongo
 
Acha kutetea ujinga, kama ilikuwa temporary solution kwa nini aliingia mikataba ya kijinga ya Dowans na IPTL? JK alikuwa ameifilisi Tanesco, hadi 2015 umeme ilikuwa ni luxurious service kwa watz, saivi bila aibu tena mifisadi na mishetani ile ile inatumia njia zile zile tena kutaka kuanza kuinajisi nchi hii.
 
Mkuu mbona maneno mengi sana? Jibu swali Stiglaz ikikamilika umeme utauzwa kiasi gani kwa unit 1? . Kama hujui ni vyema useme hujui ili Waziri atuambie
 

Sasa hivi unit chini ya hiyo 400 na kama tarif yako ndogo bei inakua kama shs 100 na kidogo kwa unit..
Mimi natumia umeme sana nanunua unit kwa 357
 

Wewe Utakuwa wa Gesi haya Kachukue gesi yako Uzalisha....
Na Hatutatumia Gesi ng’ooo
 
Prof Muhongo si aliapa kuwa hatatoa siri za Baraza la mawaziri
 
Mkumbuke ni enzi za JPM service charge ya kila mwezi ilifutwa rasmi
Na bado Tanesco ikiweza kufanya maintainance, watz tunasahau mapema sana ujinga na upumbavu uliyokuwa Tanesco, Tanesco ilishashindikana hadi wabunge walisha shauri ikatwe mara tatu yaani ili tu kujaribu kuongeza ubunifu. Uthubutu wa JPM kuvunja mikataba ya kishenzi na kujenga na kumalizia miradi ya Kinyerezi ndio imeiokoa TANESCO.
 
Watanzania wanazaliwa mpaka uzee wanapewa hadith za megawatts na bei za umeme ila kutumia jiko la umeme kama kupikia itabaki kuwa Hadith tena...hiyo gesi tuu mtihani mnaendelea kudanganya na tsh 37 ya unit ya umeme kwa unit moja kwa kipindi hiki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…