Waziri Kalemani: Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika!

Waziri Kalemani: Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika!

Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.

Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.

Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hivi South Africa ipo Uraya eee?
 
Ndugu Salary Slip, siku hizi unalipwaje mshara wako? Au unafanya kazi kwa mazoea.
 
Kuelewa wateuzi wa Yesu inabidi utolewe akili zote ubaki kopo,
 
Sifa za kijinga wakati watu bado wanakufa kwa kukosa huduma za afya huku wengine waki-share maji na mifugo.

Mnakimbilia kutafuta sifa huku wananchi wanateseka.
Wakati Amstrong anaenda mwezini, US hakukuwa na ma homeless?
 
Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.

Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.

Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Dar to Moro
 
Back
Top Bottom