Hivi South Africa ipo Uraya eee?Waziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wengine tumetumia hizo train za umeme JohannesburgUlisikia wapi bwashee?
Mwendokasi yenyewe inawashinda, hiyo ndio mtaiweza?
Kwani hizo nchi ziko africa? Yeye kasema africa nzima!!π€£π€£π€£Ethiopia, South Africa na Morocco! Hizi nchi zote zina hizo treni za umeme kitambo tu. Aache uongo.
Wakati Amstrong anaenda mwezini, US hakukuwa na ma homeless?Sifa za kijinga wakati watu bado wanakufa kwa kukosa huduma za afya huku wengine waki-share maji na mifugo.
Mnakimbilia kutafuta sifa huku wananchi wanateseka.
Mwana ufipa ??? Ufipa au mataga wanatusaidia niniPole saana mwanaufipa, kamujibu mwamba
Ahahhahaah mipashoHii habari imekaa kishankupe hebu iwekeni vizuri
Dar to MoroWaziri wa nishati mh Kalemani amesema Tanzania itakuwa ni nchi ya kwanza itakapoanza kuendesha treni ya umeme barani Afrika.
Kalemani alikuwa akikagua ujenzi wa reli ya SGR na miundombinu yake ya umeme na amesema Tanesco imetenga megawatt 70 kwa ajili ya mradi huo.
Ukaguzi huo umefanyika mjini Morogoro.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!