Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Sky Eclat pitia hapa

Tulikuwa na tabia ya kupika wali kwenye ‘rice cooker’. Aliyekuwa Mrajis Msaidizi wakati huo alipiga marufuku, kwa sababu za kiusalama. Hatukuacha. Tulijificha zaidi.

Siku moja akafanya ukaguzi wa kushtukiza. Dogo alikuwa anapika. Mimi sipo. Watu wakakimbia wakaambizana. Dogo naye akapata taarifa. Akatorosha vyombo na misosi yote kwa dirishani, baada ya kufunga mlango kwa ndani na yeye akatoroka. Sijui alitorokaje. Ilikuwa floor ya kwanza!

Harufu ya wali iliyojaa chumbani ilisaliti. Profesa alikagua chumba hadi chumba huku akinusa harufu. Akabaini ni chumbani kwangu. Alikijua fika maana kilikuwa cha Rais mstaafu. Akafungua kwa ‘Master Key’ yake. Hakukuta mtu. Akaweka ‘lock’ ili nikirudi nikaripoti ndipo nifunguliwe.

Nikaarifiwa nikawahi maana la sivyo dogo angepata shida pa kulala. Mimi nilikuwa nishaoa na nimepanga Msasani. Kipindi hicho nilikuwa mwaka wa tano. Nililala chumbani pale mara chache tu nilipokuwa najisomea usiku wodini pamoja na wenzangu.

Nilipomfuata Prof., aling’aka kwa hasira, kwa kuwa hakuwa na ushahidi, na kwa kisirani, akanirudishia funguo zangu huku akiapa kunikomesha! Alianza kunitafuta darasani. ‘Akanikamata!’ #NjeYaBox #HK
Hii story ni ya kutunga.

1. Alifungua mlango kwa " master key"...maana yake lazima kilikuwa ni kitasa.

2. Akaondoka akaweka "lock"...sijui ulikuwa mlango wa gari?

3. Akanirudishia funguo zangu.

Izo funguo zako alikunyanganya lini?
 
We don’t have the tallest mountain in Africa ni we do have the highest mountain in Africa

Kwani hakuna milima mingine ndani ya Africa ya kulinganishia?

Kwa Taarifa yako, Kilimanjaro is a TALLEzsT STAND ALONE MOUNTAIN IN AFRICA. Yaani ukiacha kupimia kutoka kwenye sea level, ukianzia kupimia chini mlima unapoanza hadi kileleni, Kilimjanro ni Tallest mountain.

Milima mingi ipo kwenye range of mountains, lakini kilimanjaro Unasimama alone
 
naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Si Bora kiingereza cha Nyani, Cha Kiranga sasa ndio utajua kuwa hii lugha huku tunajifanya tunaijua ila hatuijui kabisa.
 
Tutakutafutia mwalimu wa geography aje akufundishe hapo nyumbani mbele ya watoto.

Haujui what you are talking about.

Tunaargue Geography au tunaargue kiingereza cha waziri?

Hata kwenye Geography bado yuko sahihi!
Mlima kilimanjaro is the highest mountain in Africa (From the sea level) na ni Tallestt mountain from the basement if you measure it from the bottom to the top without considering the sea level
 
Si Bora kiingereza cha Nyani, Cha Kiranga sasa ndio utajua kuwa hii lugha huku tunajifanya tunaijua ila hatuijui kabisa.
Umeenda mbali vip kile cha mzee wa mbochi?

Aliwapiga ban BBC yani wasisogee karibu yake.

Kule kwenye jumuia ya Africa wenzake wanapanga kufanya video conference, yeye anataka wachati.
 
Haujui what you are talking about.

Tunaargue Geography au tunaargue kiingereza cha waziri?

Hata kwenye Geography bado yuko sahihi!
Mlima kilimanjaro is the highest mountain in Africa (From the sea level) na ni Tallestt mountain from the basement if you measure it from the bottom to the top without considering the sea level
Haya maneno usiongee mbele ya watoto wako maana watakucheka 🤣🤣🤣
 
... nikawauliza mabosi wetu kulikoni, mbona mimi napata kazi nyingi kuliko yule jamaa...
Yeah kuna mdada mmoja alikuwa rafiki yangu naye alikuwa mmoja wa mabosi wetu ndo nikamuuliza huyo siku moja.
Kama umeelewa nilienda ofisini au ule muda wa vikao kuuliza basi umepotea.
 
Kuna watu wameamua kuwa Wapinzani kwenye kila aspect sadly hawa watu wako desperate sana na ni vijana Wanajizeesha sasa ubishi wa nini hapo, The minister was right
 
Haya maneno usiongee mbele ya watoto wako maana watakucheka 🤣🤣🤣

Upeo wako ni mdogo, akili yako inakwambia milima hupimwa kutoka kwenye sea level peke yake wakati siyo kweli.

Ndiyo maana umeambiwa Evarest ni highest mountain from the sea level lakini siyo tallest mountain duniani ukipimwa kuanzia chini kabisa (basement of the mountain)
 
Upeo wako ni mdogo, akili yako inakwambia milima hupimwa kutoka kwenye sea level peke yake wakati siyo kweli.

Ndiyo maana umeambiwa Evarest ni highest mountain from the sea level lakini siyo tallest mountain duniani ukipimwa kuanzia chini kabisa watu (basement of the mountain)
Ongea taratibu watoto wako wasikusikie wataenda kukuchekea chooni 🤣
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Waziri wa maliasili wa twitter

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom