Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787], Dr mzima !!!. Hizi PhD za udsm hizi , daahh !!
 
Kujua kiingereza ni muhimu kama Mtanzania msomi, wanaojifanya kusema sioi ya muhimu kama huyu jamaa ni vilaza tu. Kiingereza ni official language Tanzania, inatumika kufundishia kuanzia middle school hadi university alafu mtu anasema si lazima kujua? kalio size ya ziwa victoria kabisa. Ni lazima kujua kiingereza msomi yeyote yule la sii hivyo wabadilishe mtaala kila kitu kifundishwe kwa kiswahili waache ujinga.

Na anayesema si sifa kujua ngeli ye naye walewale, ngeli ni sifa kubwa tukua multilingual ni sifa duniani kote, inapendeza sana kujua lugha zaidi ya moja, nashangaa watu wanajidahi kwa kuongea lugha moja peke yake, ya nini kujibana dunia ina watu 7bil unaweza kuongea na 50mil peke yake we una matatizo gani? Kwa nini usijue lugha itakayokuwezesha kuongea na angalau 3bil people? Lazy minds think very small.
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Hajui bhana asijishaue, kha!
 
Kujua kiingereza ni muhimu kama Mtanzania msomi, wanaojifanya kusema sioi ya muhimu kama huyu jamaa ni vilaza tu. Kiingereza ni official language Tanzania, inatumika kufundishia kuanzia middle school hadi university alafu mtu anasema si lazima kujua? kalio size ya ziwa victoria kabisa. Ni lazima kujua kiingereza msomi yeyote yule la sii hivyo wabadilishe mtaala kila kitu kifundishwe kwa kiswahili waache ujinga.

Na anayesema si sifa kujua ngeli ye naye walewale, ngeli ni sifa kubwa tukua multilingual ni sifa duniani kote, inapendeza sana kujua lugha zaidi ya moja, nashangaa watu wanajidahi kwa kuongea lugha moja peke yake, ya nini kujibana dunia ina watu 7bil unaweza kuongea na 50mil peke yake we una matatizo gani? Kwa nini usijue lugha itakayokuwezesha kuongea na angalau 3bil people? Lazy minds think very small.
Tayari yeye ana lugha tatu..Kingu lugha mama,,,Kiswahili lugha ya taifa...kingereza cha mawasiliano..unataka ipi tena?
 
Tuna uwezo wa kuwa na wakalimani.

Mtu kutokujua Lugha ya malkia isiwe sababu ya yeye kutokupata nafasi.

Ukienda China Hadi mikataba na mataifa au makampuni ya uwekezaji ya nje wanaandika kichina, kwahiyo inakuwa juu yako kutafuta mtafsiri au mkalimani.

Haya mazungu haya tunayanyenyekea ila sio mazuri , angalia mfano mbichi tu wa Georgee Floyd. Hivyo haina haja ya kuyashobokea.
Wachina wakiwa hapa wanazungumza kingereza kwa kuwa hawajui Kisukuma, Mtanzania akiwa Uchina anazungumza Kisukuma kwa kuwa hajui Kichina. Tukipata mtawala Mgogo itakuwaje?
 
Wachina wakiwa hapa wanazungumza kingereza kwa kuwa hawajui Kisukuma, Mtanzania akiwa Uchina anazungumza Kisukuma kwa kuwa hajui Kichina. Tukipata mtawala Mgogo itakuwaje?
Ni uzembe wetu.... Ilitakiwa wazungumze kichina Kisha tuwe na vijana wetu watafsiri....... Inaongeza ajira
 
Sasa utabishana na wenye lugha yao ndugu yangu? , English native speakers wanaona ni sahihi kutumia neno "tallest" kwenye milima.
Hata kwenye Jiografia ni sahihi pia kutumia neno Tall kwa ajili ya Milima.

Neno Tall linatumika pale unapopima Vertical height kutoka chini ya mlima mpaka kwenye peak

Neno High linatumika unaporefer kwenye altitude, yaani kuanzia kwenye usawa wa bahari. Ndiyo maana Everest ni Highest mountain in the world na siyo tallest mountain in the world

Kilimanjaro. ni Highest mountain in Africa na ni tallest mountain in Africa ukiupima vertically kuanzia pale Chini

Ili kuona kuwa neno Tallest linatumika au halitumiki kwenye milima angalia picha hii chini, nimeichukua kutoka kwenye mtandao wa wataalamu wenyewe wa milima wa geology. com

View attachment 1471775
Asante kwa darasa zuri
 
naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Cdm wanakupa hata nafasi ya kugombea uraisi
 
Back
Top Bottom