gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,920
- 6,081
[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi the longest mountain.
Au the mountain with many many kilometers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi the longest mountain.
Au the mountain with many many kilometers
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787], Dr mzima !!!. Hizi PhD za udsm hizi , daahh !!Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua
Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.
“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.
Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.
View attachment 1471687
Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Hivi kumbe kabila lake ni Mkimbu?
[emoji1787][emoji1787] mtakufa kwa vijiba vya roho.Kigwa ni MD not PhD dr.
Ooohh kumbe, lakini hata kama daahh !!Kigwa ni MD not PhD dr.
Hajui bhana asijishaue, kha!Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua
Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.
“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.
Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.
View attachment 1471687
Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Dada Sky Éclat hivi tafiti zao na maandiko yao universities wanatumia ki kimbu au kijaluo ?!Hivi unaweza kulitema yai ushindwe kulishika?
Kashafaulu sasa!unataka ukarudie kusahihisha?Dada Sky Éclat hivi tafiti zao na maandiko yao universities wanatumia ki kimbu au kijaluo ?!
Tayari yeye ana lugha tatu..Kingu lugha mama,,,Kiswahili lugha ya taifa...kingereza cha mawasiliano..unataka ipi tena?Kujua kiingereza ni muhimu kama Mtanzania msomi, wanaojifanya kusema sioi ya muhimu kama huyu jamaa ni vilaza tu. Kiingereza ni official language Tanzania, inatumika kufundishia kuanzia middle school hadi university alafu mtu anasema si lazima kujua? kalio size ya ziwa victoria kabisa. Ni lazima kujua kiingereza msomi yeyote yule la sii hivyo wabadilishe mtaala kila kitu kifundishwe kwa kiswahili waache ujinga.
Na anayesema si sifa kujua ngeli ye naye walewale, ngeli ni sifa kubwa tukua multilingual ni sifa duniani kote, inapendeza sana kujua lugha zaidi ya moja, nashangaa watu wanajidahi kwa kuongea lugha moja peke yake, ya nini kujibana dunia ina watu 7bil unaweza kuongea na 50mil peke yake we una matatizo gani? Kwa nini usijue lugha itakayokuwezesha kuongea na angalau 3bil people? Lazy minds think very small.
Wachina wakiwa hapa wanazungumza kingereza kwa kuwa hawajui Kisukuma, Mtanzania akiwa Uchina anazungumza Kisukuma kwa kuwa hajui Kichina. Tukipata mtawala Mgogo itakuwaje?Tuna uwezo wa kuwa na wakalimani.
Mtu kutokujua Lugha ya malkia isiwe sababu ya yeye kutokupata nafasi.
Ukienda China Hadi mikataba na mataifa au makampuni ya uwekezaji ya nje wanaandika kichina, kwahiyo inakuwa juu yako kutafuta mtafsiri au mkalimani.
Haya mazungu haya tunayanyenyekea ila sio mazuri , angalia mfano mbichi tu wa Georgee Floyd. Hivyo haina haja ya kuyashobokea.
Ni uzembe wetu.... Ilitakiwa wazungumze kichina Kisha tuwe na vijana wetu watafsiri....... Inaongeza ajiraWachina wakiwa hapa wanazungumza kingereza kwa kuwa hawajui Kisukuma, Mtanzania akiwa Uchina anazungumza Kisukuma kwa kuwa hajui Kichina. Tukipata mtawala Mgogo itakuwaje?
The highest mountain in Africa
Alikua sahihi kivyovyote vile mlima Kilimanjaro ni the tallest and highest mountain in AfricaSasa mlima kilimanjaro sio tallest bali ni highest.
Tallest - mrefu zaidi
Highest - Juu zaidi
Mlima kilimanjaro sio mrefu zaidi bali upo juu zaidi kutoka usawa wa bahari.
Asante kwa darasa zuriSasa utabishana na wenye lugha yao ndugu yangu? , English native speakers wanaona ni sahihi kutumia neno "tallest" kwenye milima.
Hata kwenye Jiografia ni sahihi pia kutumia neno Tall kwa ajili ya Milima.
Neno Tall linatumika pale unapopima Vertical height kutoka chini ya mlima mpaka kwenye peak
Neno High linatumika unaporefer kwenye altitude, yaani kuanzia kwenye usawa wa bahari. Ndiyo maana Everest ni Highest mountain in the world na siyo tallest mountain in the world
Kilimanjaro. ni Highest mountain in Africa na ni tallest mountain in Africa ukiupima vertically kuanzia pale Chini
Ili kuona kuwa neno Tallest linatumika au halitumiki kwenye milima angalia picha hii chini, nimeichukua kutoka kwenye mtandao wa wataalamu wenyewe wa milima wa geology. com
View attachment 1471775
Cdm wanakupa hata nafasi ya kugombea uraisinaunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba