Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Waziri Kigwangalla awacharukia wanaomsema hajui Kiingereza

Masters alisoma Sweden atakuwa anajua kiswedish huyu
 
Sky Eclat pitia hapa

Tulikuwa na tabia ya kupika wali kwenye ‘rice cooker’. Aliyekuwa Mrajis Msaidizi wakati huo alipiga marufuku, kwa sababu za kiusalama. Hatukuacha. Tulijificha zaidi.

Siku moja akafanya ukaguzi wa kushtukiza. Dogo alikuwa anapika. Mimi sipo. Watu wakakimbia wakaambizana. Dogo naye akapata taarifa. Akatorosha vyombo na misosi yote kwa dirishani, baada ya kufunga mlango kwa ndani na yeye akatoroka. Sijui alitorokaje. Ilikuwa floor ya kwanza!

Harufu ya wali iliyojaa chumbani ilisaliti. Profesa alikagua chumba hadi chumba huku akinusa harufu. Akabaini ni chumbani kwangu. Alikijua fika maana kilikuwa cha Rais mstaafu. Akafungua kwa ‘Master Key’ yake. Hakukuta mtu. Akaweka ‘lock’ ili nikirudi nikaripoti ndipo nifunguliwe.

Nikaarifiwa nikawahi maana la sivyo dogo angepata shida pa kulala. Mimi nilikuwa nishaoa na nimepanga Msasani. Kipindi hicho nilikuwa mwaka wa tano. Nililala chumbani pale mara chache tu nilipokuwa najisomea usiku wodini pamoja na wenzangu.

Nilipomfuata Prof., aling’aka kwa hasira, kwa kuwa hakuwa na ushahidi, na kwa kisirani, akanirudishia funguo zangu huku akiapa kunikomesha! Alianza kunitafuta darasani. ‘Akanikamata!’ #NjeYaBox #HK
Nisingesoma hadi mwisho, ningedhani na wewe ni tabibu, kumbe ilikuwa nukuu.

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Kujua Kiingereza kwa Mtu mwenye PhD Tanzania ni "lazima" Kwa kuwa PhD zote nchini Tanzania zinapatikana kwa Lugha ya Kiingereza.... Usipokuwa na uwezo wa kuongea kiingereza hii inaelekea mpaka ku jiuliza hiyo PhD ilipatikanaje Sasa.... 😳
 
naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Kujua Kiingereza kwa Mtu mwenye PhD Tanzania ni "lazima" Kwa kuwa PhD zote nchini Tanzania zinapatikana kwa Lugha ya Kiingereza.... Usipokuwa na uwezo wa kuongea kiingereza hii inaelekea mpaka ku jiuliza hiyo PhD ilipatikanaje Sasa.... 😳
 
naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Utalii ni International . Lugha za Kimataifa Must.
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.


Sasa Cha kujiuliza ametumia Lugha hiyo kwenye elimu kwa miaka 12 ya elimu kuanzia Form 1 mpaka kuwa MD !!!!! WASOMI WETU NDIYO MAANA HAWAWEZI KUANDIKA VITABU
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.

Kuja tu na haya Majibu yake tayari ameshadhihirisha kuwa hakijui kweli, kwani angekuwa anakijua kamwe asingepoteza muda wa Kuwajibu Watu.
 
Mimi kipindi kiingereza kipo sheki nilibahatika kukutana na Natives wenyewe,Americans. Waligundua kiingereza si lugha yangu hivyo wakawa wananiongelesha kwa spidi ndogo ili nielewe na mimi nikawa najibu kwa uwezo wangu na nikawa naeleweka.Ila kuna Mkenya fulani tulikuwa naye yeye alikifahamu sana tu na akawa anaona atapata ujiko zaidi kwa udhaifu wangu.Ila chakushangaza kazi nyingi zikawa zinakuja kwangu.
Siku moja nikawauliza mabosi wetu kulikoni,mbona mimi napata kazi nyingi kuliko yule jamaa.Wakasema wamependa jinsi ninavyofanya kazi zangu.Nikawauliza kuhusu lugha yangu sababu mwenzangu accent yake ilikuwa nearly American.Wakasema hilo nisijali,kwa spirit niliyonayo ntajua tu.Mwisho wakaniambia wanaenjoy kusikia Foreign Accent.
Baadaye kikakaa kichwani,japo si kivile.Sasa WaTz wenzangu huu ujasiri wa kuchekana kwenye lugha za kigeni sijui tunautoa wapi.
Lakini pia hapa kuna jambo alijakaa sawa.
Iweje mtu kwa kipindi cha takriban miaka ishirini anajifunza masomo yake kwa kutumia lugha hiyo hiyo na asiweze kuimudu.
Elimu ya Kenya haipishani sana na yetu ilikuwaje mkenya alikuwa anakukimbiza kwa kingereza.
Aidha watanzania wakipelekwa Urusi China Cuba inawachukua miaka miwili kujifunza lugha za huko na baadae wanahitimu shahada zao wakiwa wanaongea hizo lugha kwa ufasaha.
Tunajitetea sijui wachina warusi nk hawaongei kingereza,tunashindwa kutatua tatizo hili la muda mrefu ambalo majirani zetu hawana.
 
Lakini pia hapa kuna jambo alijakaa sawa.
Iweje mtu kwa kipindi cha takriban miaka ishirini anajifunza masomo yake kwa kutumia lugha hiyo hiyo na asiweze kuimudu.
Elimu ya Kenya haipishani sana na yetu ilikuwaje mkenya alikuwa anakukimbiza kwa kingereza.
Aidha watanzania wakipelekwa Urusi China Cuba inawachukua miaka miwili kujifunza lugha za huko na baadae wanahitimu shahada zao wakiwa wanaongea hizo lugha kwa ufasaha.
Tunajitetea sijui wachina warusi nk hawaongei kingereza,tunashindwa kutatua tatizo hili la muda mrefu ambalo majirani zetu hawana.
Kenya kiingereza wanaanza kusoma toka chekechea tofauti na huku kwetu unaanzia secondary. Halafu pia yeye alikuwa mbele kielimu kushinda mimi.
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Mawaziri wa mtu yule bwana, Kama boss wao.
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.


Bendera nyingi humo ndani zinaashiria nini
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Waambie wewe ulisoma sayansi, na Kyle hakuna mambo ya lugha, usijali mh, mbona tuko wengi????!!!
 
Waambie wewe ulisoma sayansi, na Kyle hakuna mambo ya lugha, usijali mh, mbona tuko wengi????!!!
No Universities wanaweka essays hata mbili kwa mwaka na presentations ili kukupima uwezo wa lugha utakayo hitimu nayo.
 
Kigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua

Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.

“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.

View attachment 1471687

Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.
Sasa tunawaomba wasiwe wanasign mikataba iliyo andikwa kwa kinge...kama kinge kwao ni changamoto
 
Back
Top Bottom