We don’t have the tallest mountain in Africa ni we do have the highest mountain in AfricaHata kutumia neno tallest kurefer milima ni sahihi, angalia kwa mfano article ifuatayo
View attachment 1471741
Sasa mlima kilimanjaro sio tallest bali ni highest.
Tallest - mrefu zaidi
Highest - Juu zaidi
Mlima kilimanjaro sio mrefu zaidi bali upo juu zaidi kutoka usawa wa bahari.
Mmelishwa matango pori.Hata kutumia neno tallest kurefer milima ni sahihi, angalia kwa mfano article ifuatayo
View attachment 1471741
Basi the longest mountain.The tallest mountain 😂😂😂😂😂😂
Tutakutafutia mwalimu wa geography aje akufundishe hapo nyumbani mbele ya watoto.Katika Africa, Kilimanjaro ni Tallest
Hii story ni ya kutunga.Sky Eclat pitia hapa
Tulikuwa na tabia ya kupika wali kwenye ‘rice cooker’. Aliyekuwa Mrajis Msaidizi wakati huo alipiga marufuku, kwa sababu za kiusalama. Hatukuacha. Tulijificha zaidi.
Siku moja akafanya ukaguzi wa kushtukiza. Dogo alikuwa anapika. Mimi sipo. Watu wakakimbia wakaambizana. Dogo naye akapata taarifa. Akatorosha vyombo na misosi yote kwa dirishani, baada ya kufunga mlango kwa ndani na yeye akatoroka. Sijui alitorokaje. Ilikuwa floor ya kwanza!
Harufu ya wali iliyojaa chumbani ilisaliti. Profesa alikagua chumba hadi chumba huku akinusa harufu. Akabaini ni chumbani kwangu. Alikijua fika maana kilikuwa cha Rais mstaafu. Akafungua kwa ‘Master Key’ yake. Hakukuta mtu. Akaweka ‘lock’ ili nikirudi nikaripoti ndipo nifunguliwe.
Nikaarifiwa nikawahi maana la sivyo dogo angepata shida pa kulala. Mimi nilikuwa nishaoa na nimepanga Msasani. Kipindi hicho nilikuwa mwaka wa tano. Nililala chumbani pale mara chache tu nilipokuwa najisomea usiku wodini pamoja na wenzangu.
Nilipomfuata Prof., aling’aka kwa hasira, kwa kuwa hakuwa na ushahidi, na kwa kisirani, akanirudishia funguo zangu huku akiapa kunikomesha! Alianza kunitafuta darasani. ‘Akanikamata!’ #NjeYaBox #HK
We don’t have the tallest mountain in Africa ni we do have the highest mountain in Africa
Si Bora kiingereza cha Nyani, Cha Kiranga sasa ndio utajua kuwa hii lugha huku tunajifanya tunaijua ila hatuijui kabisa.naunga mkono hoja,kutojua lugha fulani hakuondoi usomi wa mtu,,ila kwa nchi yetu ukijua kiingereza tu basi utatazamwa kwa jicho tofauti,,,
humu ndani kuna "nyani" bingwa wa kiingereza hatari,ukibahatika kujua kiingereza kama cha yule kwa nchi yetu wewe ni msomi hata kama ni la saba
Je uraia wako hauna utata? Wewe ni mtutsi eti?Huyo ni Mhutu,uraia wake Una utata kwa vile tu yuko huko.
Tutakutafutia mwalimu wa geography aje akufundishe hapo nyumbani mbele ya watoto.
Umeenda mbali vip kile cha mzee wa mbochi?Si Bora kiingereza cha Nyani, Cha Kiranga sasa ndio utajua kuwa hii lugha huku tunajifanya tunaijua ila hatuijui kabisa.
Haya maneno usiongee mbele ya watoto wako maana watakucheka 🤣🤣🤣Haujui what you are talking about.
Tunaargue Geography au tunaargue kiingereza cha waziri?
Hata kwenye Geography bado yuko sahihi!
Mlima kilimanjaro is the highest mountain in Africa (From the sea level) na ni Tallestt mountain from the basement if you measure it from the bottom to the top without considering the sea level
Yeah kuna mdada mmoja alikuwa rafiki yangu naye alikuwa mmoja wa mabosi wetu ndo nikamuuliza huyo siku moja.... nikawauliza mabosi wetu kulikoni, mbona mimi napata kazi nyingi kuliko yule jamaa...
Haya maneno usiongee mbele ya watoto wako maana watakucheka 🤣🤣🤣
Ongea taratibu watoto wako wasikusikie wataenda kukuchekea chooni 🤣Upeo wako ni mdogo, akili yako inakwambia milima hupimwa kutoka kwenye sea level peke yake wakati siyo kweli.
Ndiyo maana umeambiwa Evarest ni highest mountain from the sea level lakini siyo tallest mountain duniani ukipimwa kuanzia chini kabisa watu (basement of the mountain)
Ongea taratibu watoto wako wasikusikie wataenda kukuchekea chooni 🤣
Geography ulipata ngapi form 4 ?Naona huna hoja, nimeshakuelewesha umeelewa, sasa usione aibu, ni kawaida kuelimishwa kwenye usiyoyajua, siyo ujinga
Waziri wa maliasili wa twitterKigwangalla awacharua wanaomsema hajui kingereza asema sio sifa kuijua
Waziri wa Maliasilia na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amesema kuna watu huwa wanajaribu kumkosoa lugha yake ya kingereza.
“Huwa nina washangaa sana maana kwanza siyo sifa kujua lugha hiyo mimi naitumia kama njia ya kuwasiliana tu,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.
Aliongezea kuwa “Ningekuwa sijui kiswahili ama kikimbu na mtu akanicheka angekuwa na mantiki.
View attachment 1471687
Waziri anaihifadhi lugha ya Kiingereza kuwasiliana na watalii na katika masuala ya kikazi tu. Hapendi ujinga.