Waziri Lugola: Wizara haihusiki na kupotea kwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communication Limited, Azory Gwanda

Hii ni ishara kuwa tuna watawala kwenye nchi hii badala ya viongozi......

Maneno kama hayo hutolewa na watawala na sio Kwani mtawala yupo kwa ajili kuimarisha utawala wake na kiongozi yupo kwa ajili ya wananchi........

Kwa kauli hiyo maana yake ni kwamba wizara ya mambo ya ndani haipo kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao bali usalama wa watawala na mali zao.......

Kwa hiyo suala la usalama ni la mwananchi mwenyewe na sio waziri husika
 
Nataka kuamini kwamba amenukuliwa vibaya..
 
Hivi kabla ya kuwateua hawa watu ni vigezo gani vinatumika?? Kwa inavyoonesha jeshi la polisi linataarifa ya kupotea kwa Gwanda lakini si jukumu lao kumtafuta. Hii Ni Hatari Sasa.

Kwa hali mtu anaweza kumpongeza Peter Zacharia kwa alivyo wapiga risasi watu wa usalama wa Taifa
 
"Waziri kaingia kazini"

Kwa hiyo inawezekana Azory yuko pahala anatafuta maisha??
 
Huyu amenukuliwa vibaya, hayo majibu kweli kiboko.
Nchi hii imekosa viongozi kabisa, kila anayekuja ni jipu
Majibu ya kipumbavu, which shows kwamba Wizara na serikali wanahusika...na waandishi nao wanakenua tu meno wakaendelea kumsikiliza huyu mpuuzi badala ya kumziria kikao chake!
Ebu tupe majibu yako juu ya hili, endapo wewe ungepewa nafasi hiyo ya kuteuliwa kuwa uwaziri wa mambo ya ndani.
 
hii wizara ina mikosi maana kila anaye kuja afadhar aliyetoka
 
Polisi wanasema hawajachunguza kwa kina....wewe umeingia huna hata wiki...lkn una majibu ya kuhitimisha....nn maana yake?
Tangu ukiwa waziri unaelewa hii issue


Amekuja moto kweli ngoja tuone mwisho wake.
 
jamaa wizara inamshinda hata kabla hajaanza.
jana katoa mguu Mbeya, ajali ikaweka guu lake.
leo hata hajasoma faili la Gwanda, yeye anakimbilia kutoa majibu aliyolishwa!

Bashite part 2!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…