Waziri Lugola: Wizara haihusiki na kupotea kwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communication Limited, Azory Gwanda

Waziri Lugola: Wizara haihusiki na kupotea kwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communication Limited, Azory Gwanda

Hii ni ishara kuwa tuna watawala kwenye nchi hii badala ya viongozi......

Maneno kama hayo hutolewa na watawala na sio Kwani mtawala yupo kwa ajili kuimarisha utawala wake na kiongozi yupo kwa ajili ya wananchi........

Kwa kauli hiyo maana yake ni kwamba wizara ya mambo ya ndani haipo kwa ajili ya usalama wa raia na mali zao bali usalama wa watawala na mali zao.......

Kwa hiyo suala la usalama ni la mwananchi mwenyewe na sio waziri husika
Lini wizara ilishawah wajibika kwa kupotea kwa watu.Ukifuatilia ITV kuna kipind huwa wanawatangaza,huyo arzor ni nani hadi kutaka wizara iwajibike?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema wizara hiyo haihusiki na kupotea kwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communication Limited (Ltd), Azory Gwanda.

Kangi ametoa kauli hiyo, leo Ijumaa Julai 6, 2018 wakati wa mkutano wake na wanahabari uliofanyika Ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Waziri huyo ameeleza hayo baada ya kuulizwa swali na mwandishi wa habari aliyetaka kujua mkakati wa Lugola kuhusu kupotea kwa Gwanda tangu Novemba mwaka jana.

Swali: Mheshimiwa waziri hivi karibuni kumekuwa matukio ambayo sisi waandishi wa habari yanatusumbua mojawapo ni kupotea kwa mwanahabari mwenzetu, Gwanda ambaye bado hajaonekana tangu atoweke Novemba mwaka jana.

Polisi wanasema bado hawajachunguza kwa kina. Nini kinachoendelea, hili unalizungumziaje ili waandishi wa habari tufanye kazi katika mazingira salama bila kubughudhiwa.

Lugola: Zipo hizo habari. Mtu yupo nyumbani kwake halafu ametoweka. Sisi mambo ya ndani hatuingilii uhuru wa mtu kutoweka nyumbani kwake. Kila mtu ana uhuru kwa mujibu wa Katiba ya nchi anaweza kutoka sehemu moja kwenda nyingine bila kuvunja sheria.

Waziri Lugola alisema kama Gwanda alitoweka wakati akiwa nyumbani, wao hawahusiki bali wanahusika na mtu aliyetendewa uhalifu ikiwamo kutekwa, akisema katika tukio kama hilo vyombo vya dola humtafuta mtekaji.

“Hawa ambao wanatoweka kwao tu, wanakuwa na sababu nyingi. Kuna wengine maisha yakiwashinda anaamua kwenda kwingine,” alisema.

Lugola alieleza uzoefu wake alipotembelea migodi wakati akiwa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

"Kwenye migodi nilikutana na watu ambao kwao walishaweka matanga kwa kujua wameshakufa. Kwao hawaonekani, lakini kumbe wametoweka," alisema Lugola

Lugola ameeleza kuwa hicho ndicho anachoweza kusema kwa sasa kuhusu kutoweka kwa Gwanda.

Jeshi la Polisi, ambalo jukumu lake kubwa ni kulinda watu na mali zao, liko chini ya Wiuzara ya Mambo ya Ndani.

Basi yeye ndo anahusika
 
Ebu tupe majibu yako juu ya hili, endapo wewe ungepewa nafasi hiyo ya kuteuliwa kuwa uwaziri wa mambo ya ndani.

Japo sijaulizwa mimi, ila naomba nijibu: Mosi ya yote ningewaheshimu na kuwathamini binadamu wenzangu!

Uongozi haukubadilishi, unadhihirisha tu wewe ni mtu wa namna gani; uwezo wako wa kufikiri, kutenda au kutotenda.

Hebu fikiria familia ya Bwana Gwanda wakisikia majibu kama hayo...hebu waza zaidi kama mwanao au mwenzi wako amepotea halafu unapewa jibu kama hilo...Dah!
 
Kangi Lugora yuko sahihi na jinsi swali liliulizwa na huyo Mwandisha wa habari.....Maana mwandishi aliyepotea wala hakukuwa na purukushani wakati anachukuliwa katika ya mji tena mchana kweupe na akaenda kuchukua fungua wa nyumba yake shambani alikokuwa mkewe sasa hapo unataka Waziri aongee nini.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema wizara hiyo haihusiki na kupotea kwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communication Limited (Ltd), Azory Gwanda.

Kangi ametoa kauli hiyo, leo Ijumaa Julai 6, 2018 wakati wa mkutano wake na wanahabari uliofanyika Ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Waziri huyo ameeleza hayo baada ya kuulizwa swali na mwandishi wa habari aliyetaka kujua mkakati wa Lugola kuhusu kupotea kwa Gwanda tangu Novemba mwaka jana.

Swali: Mheshimiwa waziri hivi karibuni kumekuwa matukio ambayo sisi waandishi wa habari yanatusumbua mojawapo ni kupotea kwa mwanahabari mwenzetu, Gwanda ambaye bado hajaonekana tangu atoweke Novemba mwaka jana.

Polisi wanasema bado hawajachunguza kwa kina. Nini kinachoendelea, hili unalizungumziaje ili waandishi wa habari tufanye kazi katika mazingira salama bila kubughudhiwa.

Lugola: Zipo hizo habari. Mtu yupo nyumbani kwake halafu ametoweka. Sisi mambo ya ndani hatuingilii uhuru wa mtu kutoweka nyumbani kwake. Kila mtu ana uhuru kwa mujibu wa Katiba ya nchi anaweza kutoka sehemu moja kwenda nyingine bila kuvunja sheria.

Waziri Lugola alisema kama Gwanda alitoweka wakati akiwa nyumbani, wao hawahusiki bali wanahusika na mtu aliyetendewa uhalifu ikiwamo kutekwa, akisema katika tukio kama hilo vyombo vya dola humtafuta mtekaji.

“Hawa ambao wanatoweka kwao tu, wanakuwa na sababu nyingi. Kuna wengine maisha yakiwashinda anaamua kwenda kwingine,” alisema.

Lugola alieleza uzoefu wake alipotembelea migodi wakati akiwa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

"Kwenye migodi nilikutana na watu ambao kwao walishaweka matanga kwa kujua wameshakufa. Kwao hawaonekani, lakini kumbe wametoweka," alisema Lugola

Lugola ameeleza kuwa hicho ndicho anachoweza kusema kwa sasa kuhusu kutoweka kwa Gwanda.

Jeshi la Polisi, ambalo jukumu lake kubwa ni kulinda watu na mali zao, liko chini ya Wiuzara ya Mambo ya Ndani.


Anajua kilichotokea huyo. Anatoa majibu ya kihuni tu. lkn Mungu anamuona na yeye yamkute aone joto ya jiwe.
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema wizara hiyo haihusiki na kupotea kwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communication Limited (Ltd), Azory Gwanda.

Kangi ametoa kauli hiyo, leo Ijumaa Julai 6, 2018 wakati wa mkutano wake na wanahabari uliofanyika Ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Waziri huyo ameeleza hayo baada ya kuulizwa swali na mwandishi wa habari aliyetaka kujua mkakati wa Lugola kuhusu kupotea kwa Gwanda tangu Novemba mwaka jana.

Swali: Mheshimiwa waziri hivi karibuni kumekuwa matukio ambayo sisi waandishi wa habari yanatusumbua mojawapo ni kupotea kwa mwanahabari mwenzetu, Gwanda ambaye bado hajaonekana tangu atoweke Novemba mwaka jana.

Polisi wanasema bado hawajachunguza kwa kina. Nini kinachoendelea, hili unalizungumziaje ili waandishi wa habari tufanye kazi katika mazingira salama bila kubughudhiwa.

Lugola: Zipo hizo habari. Mtu yupo nyumbani kwake halafu ametoweka. Sisi mambo ya ndani hatuingilii uhuru wa mtu kutoweka nyumbani kwake. Kila mtu ana uhuru kwa mujibu wa Katiba ya nchi anaweza kutoka sehemu moja kwenda nyingine bila kuvunja sheria.

Waziri Lugola alisema kama Gwanda alitoweka wakati akiwa nyumbani, wao hawahusiki bali wanahusika na mtu aliyetendewa uhalifu ikiwamo kutekwa, akisema katika tukio kama hilo vyombo vya dola humtafuta mtekaji.

“Hawa ambao wanatoweka kwao tu, wanakuwa na sababu nyingi. Kuna wengine maisha yakiwashinda anaamua kwenda kwingine,” alisema.

Lugola alieleza uzoefu wake alipotembelea migodi wakati akiwa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

"Kwenye migodi nilikutana na watu ambao kwao walishaweka matanga kwa kujua wameshakufa. Kwao hawaonekani, lakini kumbe wametoweka," alisema Lugola

Lugola ameeleza kuwa hicho ndicho anachoweza kusema kwa sasa kuhusu kutoweka kwa Gwanda.

Jeshi la Polisi, ambalo jukumu lake kubwa ni kulinda watu na mali zao, liko chini ya Wiuzara ya Mambo ya Ndani.

Majibu ya kipumbavu, which shows kwamba Wizara na serikali wanahusika...na waandishi nao wanakenua tu meno wakaendelea kumsikiliza huyu mpuuzi badala ya kumziria kikao chake!
 
Yeye kayajuaje haya?week hata hajamaliza ashaanza blah blah.
Nchi hii tuna tabu sana,kuna wakati nakaa natamani kama viongozi wasiwepo tujiongoze wenyewe tu maana la maana wanalolifanya silioni!

Hata mimi ndugu yangu huwa natamni sana mfumo wa sheria Tz uondoke kabisa. yaani nchi iwe kama vile utaratibu wa baharini au msituni mwenye nguvu ndo achukue himaya. Aibu ktk nchi inayosema inafuata sheria tunakuwa na waziri anayetioa ushuzi kama huo. To helllll.
 
Bora Mwigulu alikuwa anakaa kimya ila Huyu aliyeingia ni mpiga zumari tu...na utindio wa ubongo juu
 
Lini wizara ilishawah wajibika kwa kupotea kwa watu.Ukifuatilia ITV kuna kipind huwa wanawatangaza,huyo arzor ni nani hadi kutaka wizara iwajibike?
Kwanza jifunze kuandika majina ya watu.

Pili, serikali inawajibu ya kuwalinda na kuwahakikishia usalama raia wake wote walio ndani na nje ya mipaka ya nchi. Inawajibu kwa raia wake wote, wanaotangazwa na wasiotangazwa. Kama haitekelezi jukumu hili, wananchi wanakila sababu ya kuishitaki serikali yao.
 
Du ! Hii Kali, Majibu Rahisi Kwa Maswali Magumu. Maisha Gani Magumu Aliyokuwa Nayo Mwandishi Mpaka Atoweke Kimya Kwenda Kutafuta Maisha Kwingine ?
 
Du ! Hii Kali, Majibu Rahisi Kwa Maswali Magumu. Maisha Gani Magumu Aliyokuwa Nayo Mwandishi Mpaka Atoweke Kimya Kwenda Kutafuta Maisha Kwingine ?
 
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema wizara hiyo haihusiki na kupotea kwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communication Limited (Ltd), Azory Gwanda.

Kangi ametoa kauli hiyo, leo Ijumaa Julai 6, 2018 wakati wa mkutano wake na wanahabari uliofanyika Ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Waziri huyo ameeleza hayo baada ya kuulizwa swali na mwandishi wa habari aliyetaka kujua mkakati wa Lugola kuhusu kupotea kwa Gwanda tangu Novemba mwaka jana.

Swali: Mheshimiwa waziri hivi karibuni kumekuwa matukio ambayo sisi waandishi wa habari yanatusumbua mojawapo ni kupotea kwa mwanahabari mwenzetu, Gwanda ambaye bado hajaonekana tangu atoweke Novemba mwaka jana.

Polisi wanasema bado hawajachunguza kwa kina. Nini kinachoendelea, hili unalizungumziaje ili waandishi wa habari tufanye kazi katika mazingira salama bila kubughudhiwa.

Lugola: Zipo hizo habari. Mtu yupo nyumbani kwake halafu ametoweka. Sisi mambo ya ndani hatuingilii uhuru wa mtu kutoweka nyumbani kwake. Kila mtu ana uhuru kwa mujibu wa Katiba ya nchi anaweza kutoka sehemu moja kwenda nyingine bila kuvunja sheria.

Waziri Lugola alisema kama Gwanda alitoweka wakati akiwa nyumbani, wao hawahusiki bali wanahusika na mtu aliyetendewa uhalifu ikiwamo kutekwa, akisema katika tukio kama hilo vyombo vya dola humtafuta mtekaji.

“Hawa ambao wanatoweka kwao tu, wanakuwa na sababu nyingi. Kuna wengine maisha yakiwashinda anaamua kwenda kwingine,” alisema.

Lugola alieleza uzoefu wake alipotembelea migodi wakati akiwa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

"Kwenye migodi nilikutana na watu ambao kwao walishaweka matanga kwa kujua wameshakufa. Kwao hawaonekani, lakini kumbe wametoweka," alisema Lugola

Lugola ameeleza kuwa hicho ndicho anachoweza kusema kwa sasa kuhusu kutoweka kwa Gwanda.

Jeshi la Polisi, ambalo jukumu lake kubwa ni kulinda watu na mali zao, liko chini ya Wiuzara ya Mambo ya Ndani.

haya ni maneno yaliyotoka kwenye kinywa cha mtu mwenye kiburi cha hali ya juu mnoo. na anayatamka hayo kwasababu yupo tanganyika?
kama kweli tanzania kuna uhuru wa kwenda popote bila kuvunja sheria mbona watu wakitaka kuandamana mnakataza? kwani kuandamana sio kwenda popote?
unataka kusema familia inaweza kutojua baba kaenda wapi?
huyu alikuwa polisi kazi pelee ambayo mtu huajiriwa kwa urefu na sio ujuzi wowote
 
Back
Top Bottom