Waziri Lugola: Wizara haihusiki na kupotea kwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communication Limited, Azory Gwanda

Tehehe [emoji16][emoji16] hehe!nimependa hilo jibu kwa kweli.[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Kuna shda wapi jamani naona km tunaenda wrong direction kwa speed kubwa
Tena huyu ndio hamna kitu kabisa!!kwani yeye anataka kujifanya kuiga akili za jiwe!!na kuwa ndio soln ya matatizo yote kwnye wizara,akikutana na akili za yule mzee wa WATAPATA TABU SANA!!ndio itakuwa balaa
 
Hii awamu ina viongozi wa ajabu sana haijapata kutokea. Sasa kama hawahusiki na watu kutoweka wamemkamatia nn Abdul Nondo na wamempelekea nn mahakamani? Maana kwa majibu yake wizara haihusiki sasa kwann kwa Nondo wamehusika?
 
Taarifa ya kupotea ndugu yako ulitoa Polisi, na polisi iko chini ya wizara gani? Kama hivyo vyombo havihusiki kwa nini tunaripoti huko?
 
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugola amesema watu walioripotiwa kupotea hawajatekwa bali huenda wametoweka kwa sababu ya ugumu wa maisha. Kangi alikuwa akijibu swali kuhusu taarifa za kupotea kwa watu mbalimbali nchini katika mazingira ya kutatanisha akiwemo mwandishi wa gazeti la Mwananchi Azory Gwanda na msaidizi wa Mwenyekiti wa Chadema Ben Saanane. Lugola amesema serikali haiwezi kuingilia sana maisha ya watu binafsi kwa sababu huenda wametoweka kwenda kutafuta maisha. Amesema hii si mara ya kwanza watu kutoweka katika jamii zao kwenda kutafuta maisha mahali kwingine na wanapofanikiwa hurejea.!

Nini maoni yako?
 
huyo ndiyo Ninja,mtegemee mabaya zaidi naye si alikuwa polisi Nchi yangu Tanzania do!!!
 
Kwa hiyo mlitaka Waziri aseme mnayotaka nyie kuyasikia? ameongea fact kuwa mtu katoka kwake akiwa na suti yake, katelekeza familia kakimbia. Mnataka wizara ifanye nini sasa? Kuweni na akili mapoyoyo nyie
 
Majibu kama hayo niyakawaida sana kwa matukio kma hayo kwani uhalisia wa jambo unafahmika
Aisee Faru john junior,unachosema kwa mwenye akili atakuelewa maana yako, lkn asiejua atakulaumu,lkn ukweli ndio huo,uhalisia wa Jambo hili unafahamika,kwa hiyo jibu hilo kutolewa na Waziri wa mambo ya ndani ni kawaida
 
Kwa hiyo mlitaka Waziri aseme mnayotaka nyie kuyasikia? ameongea fact kuwa mtu katoka kwake akiwa na suti yake, katelekeza familia kakimbia. Mnataka wizara ifanye nini sasa? Kuweni na akili mapoyoyo nyie
Nyie mnaofikiria kwa kutumia makalio ni Shida katika hii dunia,yaani jitu linaandika upuuzi humu kama lilivyo lipuuzi.
 
Aisee Faru john junior,unachosema kwa mwenye akili atakuelewa maana yako, lkn asiejua atakulaumu,lkn ukweli ndio huo,uhalisia wa Jambo hili unafahamika,kwa hiyo jibu hilo kutolewa na Waziri wa mambo ya ndani ni kawaida
Da kama ni mwanafunzi basi kila siku chakula cha mchana unakula kwangu kwa jinsi ulivyonielewa umetumia akili za ziada
 
Afu ndio nasikia alikua polisi huyu
Kwani hajui unaweza tekwa ukiwa kwako ?
Imagine mtu yupo kwake usiku anatumiwa text na mtu anayemfahamu kuwa wakutane getini then asirudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…